Hangaya alishaitangazia dunia kuwa Mbowe ni Gaidi, hii kauli hakuna jaji yeyote wa Tanzania atakwenda kinyume nayoNimekuelewa sana,namin asilimia kubwa ya wana wa Dunia hii tunaamin mbowe sio Gaidi,ila huyu chifu Hangaya anataka kuiaminisha dunia yakuwa,Mbowe ni gaidi,hizi mahakama zifuata tu atakacho Hangaya
Wewe ni boya2021muendekezeni kibatala kesi imalize miaka kumi
inamaana mpk hii saa nane hakuna kinachoendelea hapo high courtView attachment 2005439
Baada ya Mawakili wa Utetezi kuweka pingamizi kuhusu ushahidi wa Afande Jumanne , ikakubaliwa kuwepo kwa kesi ndogo ndani ya kesi kubwa ili kupata majibu halali ya kisheria kutokana utata uliopo .
Kesi hiyo inaendelea leo Mahakamani hapo
Unachuki Sana wewe utafikiri umezaliwa na shetani. Akili yako inaonyesha huwez kuwa ata Hakim Wala kiongoz yoyotenikupoteza muda tu mbowe anatakiwa awe ameshaanza kutumikia miaka yake 30 muda mrefu
Haya mambo aliandaa 7ya, kutaka kudhuriwa yeye, mashahidi watu wake wakaribu (wanufaika wake) uhusiano wao tu ni shaka kutoa ushahidi wa kuaminika licha ya tabia yake ya kuwaangamiza wenzake kisiasa ambayo aliapa kuwakomesha, hii ni sehemu ya mikakati ya muda mrefu taka kipindi cha jiwe, mama anaangalia tu!Dunia nzima inafahamu kwamba Mbowe siyo Gaidi na inafahamu pia kwamba hizi ni njama za kishamba za serikali ya Tanzania kuogopa Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi
We ht hushtuki m2 anaitwa boya unahangaika naeUnachuki Sana wewe utafikiri umezaliwa na shetani. Akili yako inaonyesha huwez kuwa ata Hakim Wala kiongoz yoyote
Kweli kabsaaa,umeona kama mimi.mawakili wa Jamhuri ni motooooooo!!!Nimekuwa nafuatilia hii kesi ya Mbowe kwa ukaribu sana.
Na nimeshuhudia mapingamizi mengi ya kikosa nguvu ya kisheria hivyo kutupiliwa mbali mahakama.
Hii ni ishara inayoonyesha timu ya Jamhuri inayongozwa na prominent lawyer Robert kidando ni moto wa kuotea mbali.
Ninachokiona ni kwamba haya mapingamizi mengi yanayokatwa na upande Kibatala ni kujaribu kutengezea picture ya kuwaminisha wananchi yakwamba uwanja wanaochezea haupo fair; jambo ambalo ni utoto kabisa.
Pia wameonyesha kupanic panic pasipo sababu mfano leo mzee wa “what is terrorism” anatumia maneno makali mahakamani. Acha panic kijana, jenga hoja za kisheria vizuri
sina hata roho mbayaIBoya hiyo roho mbaya umeitoa wapi?
Huko Misri kwenyewe kuna Demokrasia mkuu?Erythrocyte , mwambie Lisu afanya kazi ya kuitangaza hii kesi kwa wadau wa demokrasia ya vyama vingi. Mfano, akitoka Msisri, ujumbe wa CDM uende huko huko kumnanga kuwa huyu si mtu! and the like
Hakuna kabisa.... basi huko asiendeHuko Misri kwenyewe kuna Demokrasia mkuu?
naona watu wamekata tamaa kutokana na majaji wanavyoiendesha. Wananchi wanaamua kuwa Mbowe anyamaze, waamue wanavyotaka , mapambano yaanzie hapo the way forward.kesi leo ipoje ?
Nimekuelewa sana,namin asilimia kubwa ya wana wa Dunia hii tunaamin mbowe sio Gaidi,ila huyu chifu Hangaya anataka kuiaminisha dunia yakuwa,Mbowe ni gaidi,hizi mahakama zifuata tu atakacho Hangaya
maji yako shingoni anaona kabisa abubakar wake anaumbua na maugaidi yakeMkuu Erythrocytes mbona kimya
Basi waambie wanajukwaa kuwa una roho swafiii. 🏋️sina hata roho mbaya
CCM hawajui kusoma alama za nyakati, wakimfunga mbowe maisha wasifikiri ndiyo watapumua - watakuwa wamejipalia makaa aka kuoga maji ya upupu.naona watu wamekata tamaa kutokana na majaji wanavyoiendesha. Wananchi wanaamua kuwa Mbowe anyamaze, waamue wanavyotaka , mapambano yaanzie hapo the way forward.