Yani mimi juzi nimesajili line ile naweka vocha si wakanikata 200 eti ya muito kwenye nyimbo ya nandy, nandy mwenyewe simfahamu lakini tigo wamenibashiria interest yangu wakanipa nandyTigo ni wezi, sana niliiacha kutumia tigo mwaka 2011 baada ya kuibiwa vocha, miaka kumi saiz sijawahi tumia tigo, kila nikinunua naishia kuitupa bila kuitumia
Huyo jamaa hata Jaji anamchora tu, huwezi kuwa mwanasheria na unafanya kazi tigo usimfahamu Mbowe...Amenifurahisha Sana shahidi wa leo mitego yote ya wakili msomi kameibugia Kama uji wa asubuhi.
Wakili msomi: Unamufahamu Mbowe?
Shahidi msomi: Simufahamu.
Mbowe hajulikani mngesema Slaa,bwana makelele,Lowassa hapo sawa.
Hio ndo ilikuwa michezo ya Makonda na Sabaya!!!Hadi hapa nilipo mimi sio mteja wa huo mtandao...
Hizi nchi zetu mkuu zenye mambo ya kubambikiana, majambazi na kila maovu juu ya watu, hivi kama taarifa za mtu zinapatikana kirahisi tu hivyo huoni kama ni hatari??
Tufanye tu ndani ya jeshi kuwe na askari asiye mwadilifu mwenye cheo kikubwa na ana mtandao wa majambazi hivi, na wewe uwe ni mtu tajiri mwenye mpunga wako kama Mo wa Simba yule...huu ni mfano tu 😁
Kupitia taarifa zako za kimtandao, unaweza ukajulikana mambo yako kibao, hadi pattern za namna unavyoroam mjini (kupitia locations za minara ya simu)
Unakuja tekwa au vamiwa na jamaa wanaojua mienendo yako yote na unashangaa wamejuaje hadi miamala hako...
si alijitapa kasomea india mbwembwe kibao, sasa wacha wamrarue ili next time awe na adabu kwa wanasheria wenzake.Mawakili wameamua kumfirigisa mwanasheria mwenzao. Hii inaitwa mbwa kala mbwa!
Kielelezo ulete wewe mwenyewe kama uliwahi kumkosoa huyo uliyempa majina hayo...Leta uthibitisho wowote wa mimi kujinasibisha na huyo kibwengo.
Kibatala alichomfanyia huyu wakili wa tigo, kampuni ya tigo haitakuja kukubali tena kupeleka mawakili wao kwenye kesi ambazo kibatala yupo
Kwasababu hawakutegemea kua upepo utabadilika na wao ndio watakua wako kwenye hatari ya kuchafuliwa, walijua position ambayo wao wapo ni salama.
Jamaa kaenda moja kwa moja kwenye kampuni na kulioneshea udhaifu wao, kwamba kuna wateja ambao wanaibiwa pesa zao zikiwa bado kwenye account za tigo pesa
Hiyo ni hatua mbaya sana kama kampun inajikuta inajichafua kwenye ishu ambayo haina maslahi nayo.
Hoja inayotengenezwa hapo ni kwamba kivyovyote vile itavyokua ni lazima itaonesha udhaifu wa kampuni katika kulinda mali za wateja wao, hata kama wanaofanya hivyo ni waajiriwa wa mtandao
Kwa hiyo hapo itaonesha hata hayo madai ambayo yameletwa na wakili ni batili kwasababu kunauwezekano mkubwa yakawa forged na watu ambao wanalengo la kumtia hatiani mbowe
Fatilia mahojiano yake na kibatala ndo utajua kua jamaa ako hajui kitu ni amekaliliMnyonge mnyongeni haki yake mpeni,Jamaa yuko vizuri sana na ni sababu anaongea kile kitu anakifahamu na alikifanyia kazi,ndiyo maana si Mtobesya wala Mallya wamefurukuta kwa mbwembwe za Cross examination.Nasubiri zamu ya Kibatala
Tigo ni wezi, sana niliiacha kutumia tigo mwaka 2011 baada ya kuibiwa vocha, miaka kumi saiz sijawahi tumia tigo, kila nikinunua naishia kuitupa bila kuitumia
kibatala ni mnoma, kweli Database hii ndiyo ipo latest sasa hivi..
inawezekana hata hawajatoa sema wame cook, we uliona wapi unarequest data za 01/07/2021 hadi 30/09/2021 then printer ina kuletea report ya tofauti kwa maana ya requested duration?naiona kesi nyingine hapa ya haki ya privacy ya mtumiaji wa mtandao - TIGO jiandaeni kujibu mashitaka, mmetoa info za mtumiaji wenu bila kufuata sheria inavyotaka.
Shahidi hamjui mbowe, na hajui polisi walihiraji taarifa kwa kosa gani!point 3.
Wewe unataka kuwa Mimi au, Basi kuwa Mimi, kuanzia Leo utaitwa Eng. ZezuduAcha uwongo basi,sisi watu wazima ujue? Yani ununue utupe,halafu ununue tena[emoji3][emoji3]
Huyo jamaa hata Jaji anamchora tu, huwezi kuwa mwanasheria na unafanya kazi tigo usimfahamu Mbowe...
Data za mteja za Nida huwa zinakuja na picha, kwa maana hakuona picha?
Wakili msomi angemuuliza tu humu mahakamani Mbowe yuko wapi?
Shahidi: Mbowe simjui.
Wakili: Kwa hio niseme umekuja kwenye kesi hufahamu inamuhusu Nani?
Shahidi: [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Jaji: Mpeni kitambaa ajifute machozi.
Huyu jamaa akina kibatala watafanya afukuzwe kazi wallah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa nini utoe taarifa pasipo kufahamu kuna kosa gani?Mkuu hili ndilo kosa kubwa sana mnalifanya,mwisho wa siku yale yale ya kushangilia PGO ndiyo yatakuja kujirudia hapa.Mnachokiona nyinyi si kile anachokiona Jaji,na siyo tu Tigo,hata Vodacom,Airtel,Hallotel wakati wowote wakitakiwa kutoa ushirikiano kwa Serikali watafanya bila kusita.Huo ndiyo ukweli wenyewe japo ni mchungu.
Hii unaweza kufunguliwa kwenye mahakama za kimataifa tigo watalipa hela ndefu sananaiona kesi nyingine hapa ya haki ya privacy ya mtumiaji wa mtandao - TIGO jiandaeni kujibu mashitaka, mmetoa info za mtumiaji wenu bila kufuata sheria inavyotaka.
Fatilia mahojiano yake na kibatala ndo utajua kua jamaa ako hajui kitu ni amekalili