Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Mfanyakazi wa Vodacom aeleza alivyochunguza Simu za Sabaya
MENEJA Ulinzi na Ushirika wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama wa Kampuni ya Vodacom (T) Makao Makuu Dar es Salaam, James Wawenje (39), ameieleza mahakama jijini hapa kuwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa Arusha ilimuagiza achunguze namba za simu ya kiganjani za washitakiwa...