mr_politician
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 631
- 452
na A yako ya Kiswahili,Ungelimpata hapo, Basi ushindi wake unakuwa wa uongo maana Kama unasema Uongo wa wazi kuwa humjui mtu maarufu Kama Mbowe na wewe Ni Mwanasheria Wakili, logical deduction Ni kuwa na yote uliyoyasema hatupashwi kuyaamini.
"Mabush" layer tunasema hivyo au vipi"[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
unapo sahihisha wenzako, jichunguze wewe kwanza.
Hatupashwi au ni Hatupaswi..?