mr_politician
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 631
- 452
kwani mtuhumiwa ameshatiwa hatani mpaka asitoe ushahidi/ hayo makesi yenu ya kubambika kwa huyo askari hayatafanikiwa wacha watoe ushahidi kwa hilo gaidi mbowe lifungwe maisha hatutaki magaidi nchini kwetu
kumbe alibambikiwa aisee.
Police kabambikiwa kesi 🤔🤔
Yaani wengine ujinga umetawala huyo Iboya anbatetea asichokijua.
Hata kamati ya ulinzi na usalama mkoa haijui achilia mbali ile ya wilaya walikokwenda kukamata watuhumiwa! Yaan magaidi wako tayari hadi kuua lakini kamati ya ulinzi na usalama haijui adi wameenda kuokolewa na kina kingai kutoka arusha na arumeru, wanataja watu watatu kuwa pamoja lakini walikamata wawili, mbona yule wa tatu hawanyooshi maelezo? Eti akapotea kimazingara watu hawakuwa na hata Mia mbovu mfukoni alielekea wapi??? Mwingine akasema walikuwa kibanda cha kusajili line, wengine grocery, mwingine kibanda umiza, mahita akasema umati ulikusanyika watu wakajaa pale wakachagua mashahidi leo anasema akaenda kwenye vibanda vyao kutafuta watu mhhhh!
yes, ni kuondoa mawakili ili mahakama iamue kama inakufunga maisha tujue moja - hamna kesi humo ni fambastic.MBOWE ondoa mawakili, hiyo kesi hushindi
Baada ya mvutano wa kisheria baina ya Mawakili wa Utetezi na Jamhuri juu ya mahakama kupokea Hati ya kukamatia mali iliyowasilishwa na Shahidi wa 8, Jaji ameahirisha kesi hiyo mpaka kesho Novemba 09, 2021 ambapo atatoa uamuzi, kama hati hiyo ipokelewe au isipokelewe.Mkuu vipi updates hakuna
Seriously??????!!!!!!!Baada ya mvutano wa kisheria baina ya Mawakili wa Utetezi na Jamhuri juu ya mahakama kupokea Hati ya kukamatia mali iliyowasilishwa na Shahidi wa 8, Jaji ameahirisha kesi hiyo mpaka kesho Novemba 09, 2021 ambapo atatoa uamuzi, kama hati hiyo ipokelewe au isipokelewe.
Huyo jaji nae ni tabulalasa..Baada ya mvutano wa kisheria baina ya Mawakili wa Utetezi na Jamhuri juu ya mahakama kupokea Hati ya kukamatia mali iliyowasilishwa na Shahidi wa 8, Jaji ameahirisha kesi hiyo mpaka kesho Novemba 09, 2021 ambapo atatoa uamuzi, kama hati hiyo ipokelewe au isipokelewe.
Mnamsikiliza lema yeye mbona anaongelea vichochoroni hukoyes, ni kuondoa mawakili ili mahakama iamue kama inakufunga maisha tujue moja - hamna kesi humo ni fambastic.
Majaji wetu wengi hawaja jipanga ki sheria zaidi wako Green au ni majaji wa kisiasa lazima waende ku consult kwanza ili kupewa maelekezo sahihi.Baada ya mvutano wa kisheria baina ya Mawakili wa Utetezi na Jamhuri juu ya mahakama kupokea Hati ya kukamatia mali iliyowasilishwa na Shahidi wa 8, Jaji ameahirisha kesi hiyo mpaka kesho Novemba 09, 2021 ambapo atatoa uamuzi, kama hati hiyo ipokelewe au isipokelewe.
hamna kesi humo, ni kupotezeana muda tu, lijulikane moja kama CCM wanataka kumfunga basi wamfunge na yaishe.Mnamsikiliza lema yeye mbona anaongelea vichochoroni huko