Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu - Januari 19, 2022

Moja na mbili sio kosa na kama kuna kosa basi sio kosa la kigaidi.
Namba tatu, sio Kingai wala mashahidi waliofuata ambao wameweza kuthibitisha hizi tuhuma.
 
Kuhusu sauti anasema hawezi kujibu sababu ya usarama ,kwa nijuavyo mimi nikwamba, sauti ya simu hufutika ndani ya siku90 automatically na sms ni siku60 inaondoka kwenye system automatically, hawataki watu tujue.
 

Accelerate Justice​

From the field to the lab and the courtroom… solve cases faster.

CELLEBRITE imemmaliza Mbowe ndiyo maana Mh. Kibatala ameamua kuuliza kirefu cha DCI-Daima Chadema Inashindwa
Ila kuamini kuwa Mbowe ni Gaidi ni roho mbaya tu!!
 
kazi kweli kweli
 
Ndio Maana mawakili wanajenga msingi wa utetezi wa Mashahidi wa Jamhuri uwe ni wa mashaka.

Hawa mawakili wa Kibatala ni nyoko.
 
Kwa vile fact za mashtaka zina futika uta kuta jaji hakuandika hayo majibu. Maana na huyu jaji ni wakili wa serikali kwenye hii kesi
 
Yaan timu hizi Mungu wa ajabu zinapatikana upande ule tu.Upande ule mwingine wengi viazi yaan hata sijui kwa nn

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 

Hongera Jeshi la polisi kwa kwenda na wakati wa kidigital- watu kama Mbowe wamesumbua sana nchi hii sasa wanashikwa kirahisi​

Accelerate Justice​

From the field to the lab and the courtroom… solve cases faster.

CELLEBRITE
Kielelezo cha watu tupu kichwani ni upande uliopo wewe.Na unavyoandika nahisi unahitaji cheo

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…