Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Urio kuendelea kutoa ushahidi Januari 31, 2022

Nani kakuambia ugaidi unathibitishwa kwa maneno ya kusikia..?
 
Luteni ama Afisa wa JWTZ anaona uhalifu unataka kutendeka, option anayochukua ni kumtafuta DCI ambaye yupo mbali badala ya kwanza kuriport kambi iliyo karibu kabisa na eneo ambalo walifanya mkutano na Mbowe ili kuzima tukio nzima kwa uharaka.

Sasa tukisema huyu Luteni ni BOYA kabisa tutakuwa tumesema urongo ndugu zangu ?
 
Ma bush lawyer wa lumumba mnajua kuhara pumba mkuu. Ya sheria waachieni wa taalam wa sheria.
 
Shahidi katoroka, anasakwa arejeshwe kizimbani.
elimu ya jamaa ndiyo kikwazo - Three ya 25 ni parefu hapo !! as results tunapata Afisa wa JWTZ asiye na uelewa wa mambo.

Hawezi kukimbia kashaingia kwa 18 za Kibatala - bado kidogo tu ataanza kumwita Kibatara Mweshimiwa..... 😁😁😁
 
four four luteni?
 
Ndugu mahakama haifanyi kazi bila ushahidi..maneno ya Urio kuwa Mbowe alimwambia mpango wa ugaidi bila ushahidi maneno matupu tu hayasaidii hasa kama hakukuwa na mtu mwingine zaidi ya wao wawili tu..maana Mbowe anaweza kuja nae akasema hakuwahi kumuambia Urio huo mpango....hapa inaonesha wewe ndio layman unaoshangilia ushahidi usiokuwa na mashiko wa Urio
 
Ushahidi wa Lt Urio ni ushahidi wa kijinga jinga zaidi na anaendelea kulidhalilisha jwtz
 

Shahidi wa 12 Luteni Urio, kwa kifupi analiaibisha JWTZ.​

 
Kwani wakuu, jamuhuri ina mashahidi wangapi na huyu boya ni shahidi wa ngapi??
Nasikia wapo kama 24 ila huyu boya ni shahidi wa 12 na ndio alikuwa makao makuu ya mashahidi wote hao wengine ni matawi tu,na yeye ndio alijinasibu kupewa kazi nzito na Mwamba ya kutafuta 'magaidi' na kwamba amefanya vikao vya faragha kupanga mikakati ya kutwaa nchi.

Matokeo yake kaishia kunywa Malta na kutuletea porojo za 'muda umekwisha mara sijui mtu tatu' na kuwachomekea kesi nzito vijana wasio na hatia waliokuwa wanajitafutia kwa ajili ya familia zao.
 
Viashiria vipi? Amani ipi imevunjwa? Kuwabambikia kesi kuwatesa kuwapiga watu wakubali ugaidi hewa ndiyo uvunjifu wa Aman i
 
Lt. Denis Leo Urio kasababisha watu wajifikirie upya kuhusu uLuteni, uKomandoo na JWTZ kwa ujumla...
Sasa itabidi Comandoo wote wafanyiwe semina kubwa ikibidi hata na makomandoo wa kimataifa ili kuondokana na Aibu hii ya kulidhalilisha jwtz kwa kushiriki kesi za Mchongo na hap Polisiccm
 
Hakuna ugaidi wowote bali aliyetengeneza ugaidi hewa ni DC Sabaya na kingai kwa Lengo la kumfurahisha marehemu Magufuli
 
Shahidi wa Jamhuri Luteni Urio ana simu ambayo haiwaki tangu Jana na amedai haidisplay. Ilikuwaje wakashindwa kutengeneza. Maana inaonekana upande wa utetezi wanahitaji zaidi simu hiyo, inaonekana kuna ushahidi mkubwa unafichwa kwenye simu hiyo.
Aaache uongo asituletee yale ya nimesahau password ya bandarini mtu alibanwa mbavu na jpm afungue computer akasema nimesahau password.
 
isitoshe huyo Lt Urio aliteswa na kupigwa sana ili akubali ugaidi hewa inashangaza Leo kawa upande wa kingai na mahita watesi waonevu
 
Waswaap call recording zake wataupata ushahidi wote.
Naona wahuni wanaenda umbuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…