Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Urio kuendelea kutoa ushahidi Januari 31, 2022

Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi inayomkabili Mbowe na wenzake. Shahidi wa 12 Luteni Urio kuendelea kutoa ushahidi Januari 31, 2022

mzee, informer pia huwa anakamatwa na huwa anapigwa hadi vibao ili muendelee kuamini kwamba mpo pamoja naye, na kule lock up muendelee kutapika uchafu mbele yake wa namna gani mnataka kujitetea, na mwisho yeye anachomolewa anakuwa shahidi. ndivyo ilivyo. mwulizeni mwenyekiti wenu kwanini soon after uchaguzi alikimbia nchi, pamoja na kwamba hapakuwa na threat yeyote. na kwanini tundu lisu alikuwa na amani na kutukana kote kule wakati wa kampeni hakufanya kosa, lakini alipoona hao vijana wamekamatwa tu mbio ubalozi wa ujerumani, kwanini alikuwa haishi ubalozi wa ujerumani wakati wa kampeni?...cdm mnafikiri kwa kutumia nini aisee,ni nani aliyewaloga?
Lisu zile damu ulizommwaga dodoma Mungu atazidai tu. Ulivyo Zezeta toka hiyo ishu ya ugaidi mwezi wa saba 2020 mnamshika mtu 2021 Kama ni gaidi angeshafanya yake kitambo. Wote wabinua pua tu mnatumwa kuuwa watu mnakubali kwa uzezeta wenu hamjiulizi kwanini wasiwatume watoto wao kuuwa?. Hawataki kuwapa laana ya DAMU za watu watoto wao wanawapa wajinga mnaokubali hovyo. Unamsifia Urio kwa lipi hapo zaidi ya Ujinga tu
 
Wengi wanaojadili hapa wamesahau ishu nzima ilivyo

Wamebeba ushabiki mpaka hawaoni ujinga wa upande wa kina kibatala

Mtu anarejea stori za willy gamba halafu anajiita msomi
Ila ujinga wa Kingai na Inpekta Swila wa kufungua kesi ya ugaidi mapema tarehe 18/7/2020 kabla informer Luteni Urio kupeleka taarifa za ugaidi tarehe 24/7/2020 unaona ni busara?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hakika Magufuli aliweka watu wabaya sana kama yeye hii yote Freeman Mbowe anayopitia ni mpango uliokuwa umesukwa na Mwendazake
Shetani uweka shetani
Walivyokutana mikocheni ndio aliambwambia amtafutie vijana wakufanya nchi kuwa katika taharuki, kuchoma vituo vya mafuta na masoko pamoja na kukata miti pembezoni mwa barabara, sasa Wale vijana waliofukuzwa jeshini ndio wanaujasiri wa kufanya hayo yoote. Na pia ni watu wenye mafunzo na nilichokiona hapa Urio angewaambia moja kwa moja ni kazi gani wangesita au angevujisha siri.
Akila za kupambana na beberu hii
 
Yaani Mbowe amemtafuta Homeboy wake; wanajenga mahusiano naye kwa mda; anakuwa anamtumia salam za kheri kwa matukio makubwa ya mwaka; anamuita wakutane; Halafu URIO aende na voice recorder- AKILI ZA AJABU SANA

Ok- Urio ameenda, hajui alichoitiwa; hatimaye Mbowe amamwambia lengo lake;Halafu Urio amwambie subiri kidogo nifuate voice recorder nije nirecord ulicho na utakachosema- AKILI ZA AJABU SANA

Mkuu tunamjua Mbowe na akili zake za kihalifu za kuzaliwa alijaribu kuchukua tahadhali zote isipokuwa uhalifu una mwisho- na mwisho wake ni sasa.-Mbowe kaumiza watu wengi sana na malipo ni hapa hapa duniani- ATALIPA.
Umewaza vizuri,lakini inahitaji nini kumrekodi mtu? Simu janja ya kawaida inarekodi kila kitu
Au tufanye Urio anasema kama alivyoambiwa na Mbowe,Sasa twambie tofauti na maneno ya Urio Kuna ushahidi gani mwingine utakao corroborate na maneno ya mdomo? Angalia vizuri Kwanza ,jalada la kesi lilifumguliwa kabla ya Urio kutoa taarifa kwa DCI,waliwezaje kuprempt kwamba Mbowe angefanya alichofanya wakati taarifa ilikuwa bado haijafika kwa DCI? Prima facie case hapo haitapatikana.Jinai ni ushahidi na ushahidi haiwezi kuwa maneno ya mtu mmoja ambaye hayana sapoti.
 
Yaani Mbowe amemtafuta Homeboy wake; wanajenga mahusiano naye kwa mda; anakuwa anamtumia salam za kheri kwa matukio makubwa ya mwaka; anamuita wakutane; Halafu URIO aende na voice recorder- AKILI ZA AJABU SANA

Ok- Urio ameenda, hajui alichoitiwa; hatimaye Mbowe amamwambia lengo lake;Halafu Urio amwambie subiri kidogo nifuate voice recorder nije nirecord ulicho na utakachosema- AKILI ZA AJABU SANA

Mkuu tunamjua Mbowe na akili zake za kihalifu za kuzaliwa alijaribu kuchukua tahadhali zote isipokuwa uhalifu una mwisho- na mwisho wake ni sasa.-Mbowe kaumiza watu wengi sana na malipo ni hapa hapa duniani- ATALIPA.
Hiyo jinai unayoisema iko wapi Sasa mkuu?
 
Ukwel Ni huu commando katulia Sana Hana papara, na kimsingi anazungumza anachokielewa, kujibu maswal Kama ya kibatala unahitaji akili kubwa(high capacity knowledge)

Nlichopenda tu amavuka mitego mingi mno ya kisheria, kwake alifanya sehem yake, tutakuja kumsikia mbowe huko mbele akiwa anajitetea, ila kunamtu lazima mvua itamhusu tu,
Kwa kulazimisha kushinda kama jadi yao. Siku zao nao zinahesabiwa.
 
Urio ndiyo kabeba kesi yenyewe - na ndiyo maana alikumbushwa kwamba baada ya ushahidi wake anaweza kuwa Shujaa ama mtu wa hovyo kabisa kutokea hapa duniani.

Wacha tuone leo maana jana hakutoka hata na point moja..alishidwa kabisa kumshawishi achilia mbali Jaji lakini mtu yoyote anayefuatilia hii kesi.
kwangu mimi nimeshaona urio ni mtu gani hapa kwa dunia hii
 
Kesi ya ugaidi ilishafunguliwa kabla hata ya magaidi wenyewe kupatikana ama kufahamika! Duh!🤦🏾‍♂️ Ndo mambo ya mchongo haya!

Kibatala: Ni sahihi Kwamba Umeanza Kuwakusanya hawa baada ya Tarehe 20 July 2020

Shahidi: Ni sahihi

Kibatala: Na wewe ndiyo Ulikuwa Unawafahamu hawa wala Siyo Mbowe

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Unaweza Kutuisaidia Kuwa Kwanini Inspector Swila alifungua Faili la Kula Njama Tarehe 18 July 2020 Wakati Wakati Umekutana hawa Vijana Tarehe 20 Mpaka 24

Shahidi: Sijui sasa
Huyu shahidi, Luteni Denis Urio, ndie alikuwa mshirika mkuu wa Afande Ramadhan Kingai katika UBUMBAJI. Kama Yuda Iskariote, ndie alikuwa tumaini na tegemeo lao kuu katika kutimiza ukandamizaji uliyoanza kusherehekewa mapema na walio na hila za kishetani.
KWA jinsi wanavyokosa aibu na kuzidi kumchezea MUNGU, ninazidi kuamini kuwa mkono wake u karibu KUONEKANA tena. AMEN
 
Kwahiyo inawezekana kweli Jeshi likaridhia askar wake tena commando awekwe kizuizini na polisi mpaka muda huu ? Pia najiuliza kipindi kile inasemekana ameteswa na Kina Kingai JWTZ walichukua hatua gan kwa commandoo wap tena akiwa Bado anahudumu kazin kufanyiwa kitendo kile?
Mkuu unashangaa hilo jeshi ili ambalo lipo chini ya Mabeyo. Mabeyo kashajichanganya kwenye mfumo ko hawezi kufanya lolote Kama mfumo ndio uliyofanya.
Hata akina Kingai wanabaraka za mfumo ndio maana wanajeuri ya kufanya wanachoendelea kufanya
 
Yaani Mbowe amemtafuta Homeboy wake; wanajenga mahusiano naye kwa mda; anakuwa anamtumia salam za kheri kwa matukio makubwa ya mwaka; anamuita wakutane; Halafu URIO aende na voice recorder- AKILI ZA AJABU SANA

Ok- Urio ameenda, hajui alichoitiwa; hatimaye Mbowe amamwambia lengo lake;Halafu Urio amwambie subiri kidogo nifuate voice recorder nije nirecord ulicho na utakachosema- AKILI ZA AJABU SANA

Mkuu tunamjua Mbowe na akili zake za kihalifu za kuzaliwa alijaribu kuchukua tahadhali zote isipokuwa uhalifu una mwisho- na mwisho wake ni sasa.-Mbowe kaumiza watu wengi sana na malipo ni hapa hapa duniani- ATALIPA.
1636118554444.jpg

Mkuu hujaja kuchukua x-ray YAkO!😁
 
KWA HIYO MBOWE ALIJITENGENEZEA KESI ILI AWE SHUJAA? AFUNGWE KAMA MANDELA AKITOKA AWE RAIS?
Hii ndo maana halisi ya kulipuka na kuweweseka na ndio moja ya dalili kuu za uwepo wa tatizo kwenye afya ya akili.
 
Ninavyoona Urio ni mhanga... Anatia huruma sana. Hasa pale Aliposema Kibatara kuwa hatokei kwake wala Hotelini. Nahisi anahitaji kuonewa huruma pia. Kwa alivyokuwa na ushikaji na hao washtakiwa wengine, anaonekana amelazimishwa. Namuombea kwa Mungu, ameyafanya haya kutunza uhai wake maskini.
Ni kweli nami pia namuonea huruma, lakini yafaa nae awe tayari kufanya maamuzi magumu, ATUBU ili aweze kumrudia Mungu.
Aweze kupata nguvu na ujasiri wa kumkemea na kumkataa shetani na mambo yake yote. Huu utakuwa mwanzo wa kuisafisha nchi na TAIFA letu.
 
Kwamba dunia inamfuatilia Mbowe kwa lipi? Na kwamba inaweza kuizuia Tanzania kumfunga?! Ndiyo kinga yenu? Muulize X mass aliiilia wapi na leo analala wapi? Hii kesi mpaka 2026
Mpumbavu wewe. Laana iwe juu yako na kizazi chako chote
 
Back
Top Bottom