Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake: Kesi imeahirishwa hadi 28/01/2022, Luteni Denis Urio kuendelea na ushahidi wake

Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake: Kesi imeahirishwa hadi 28/01/2022, Luteni Denis Urio kuendelea na ushahidi wake

Usikariri Bro. Kwenye Organization ni kweli kuna idadi tajwa lakini haimlazimishi mtu kuifuata. Ndio maana kuna - or +. Unaweza kutengeneza Organization itakayo fit hitajio lako.
Muundo wa majeshi yetu ni copy na past ya marekani na ipo hivyo section 9,platoon 27, Combania 54 over
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Shahidi: Ilikuwa Kwenye Mgahawa siyo Sober, Sijui Kama Palikuwa panaitwa sober
 
Kuna tofauti kubwa kati ya maswali yanayoulizwa wakati wa EXAMINATION IN CHIEF na CROSS EXAMINATION
Hajui unamaanisha nini labda aje umfafanulie.. wamekaririshwa pale Lumumba basi wote ni wanasheria siku hizi.
 
Nashon: Na ni kweli Ujamwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Huyo Admin Officer ni Mmoja au Watu tofauti

Shahidi: Umenisikia Vibaya Nilisema Nilienda Ofisini Nikapitia File

Nashon: Ni Ushahidi Wako Ulipitia File

Shahidi: Ndiyo

Nashon: ilikuwa Tarehe ngapi

Shahidi: Sikumbuki

Nashon: Lilikuwa ni Faili namba Ngapi

Shahidi: Sikumbuki
duh jamaa yupo kwenye wakati mgumu sana, na inaonekana uelewa wake ni mdogo.
 
Shahidi huyu kiboko
Screenshot_20220127-161823_Instagram.jpg
 
Usikariri Bro. Kwenye Organization ni kweli kuna idadi tajwa lakini haimlazimishi mtu kuifuata. Ndio maana kuna - or +. Unaweza kutengeneza Organization itakayo fit hitajio lako.
Ni kweli 9 kila section kiongozi wake koplo anakuwa wa kumi na Luteni anakuwa kiongozi wa platoon ya watu 30 yeye ni wa 31 unaweza kuona hili kwenye gwaride ukipenda!
 
Kuna watu humu wanafikiri Luteni ni mtu mkubwaaa, eti kila kitu SIRI, SIRI - Luteni ana siri gani za jeshi? Kwanza kama hamjui cheo cha Luteni ukifika miaka 45 unaondoka jeshini unless uwe ume-specialize na kupanda kuwa Captain.

Cheo chenye mamlaka walau kidogo ni kuanzia MEJA kwenda juu - hawa wengine ni mambo ya kuvumilia vumbi na jua kali.
Vumilia Vurumai la Vumvi(VVV)... Luteni Ni watu wadogo Sana jeshini. Kama ingelikuwa Polisi, then Nyota mbili is somehow something.
 
Huyu Gaidi Mboe aliwarubuni hao jamaa, mipango yake ilikuwa kuvuruga amani ya nchi na sio kumlinda.
eti bila aibu linadai walikuwa walinzi!!!
jambazi mkubwa huyu.

Huyu Gaidi alikuwa na mtandao ndani kwa ndani yaani alikuwa na vibaraka wengi ambao walikuwa wanamsaidia jinsi ya kuihujumu serikali. huyu lazima achezee miaka ya kutosha.
Kwani aliyetafuta X-Makomandoo ni nani?
Aliyekutana X-Makomondoo Morogoro ni nani?
Nina aliyetafakari kwa umakini kukubali kutafuta vijana wa Vp protection na Huku akijua ni kwenda kutekeleza Ugaidi ni Nina?
 
Kwani aliyetafuta X-Makomandoo ni nani?
Aliyekutana X-Makomondoo Morogoro ni nani?
Nina aliyetafakari kwa umakini kukubali kutafuta vijana wa Vp protection na Huku akijua ni kwenda kutekeleza Ugaidi ni Nina?
eti VIP Protection,

Mboe alikuwa anatafuta watu ambao walikuwa tayari kufanya vitendo vya kihalifu.
Hata ndani ya chama inafahamika kwani mara nyingi alikuwa anawahimiza red brigedi kuwa tayari kwa lolote na haswa kutekeleza vitendo vya kihalifu pale inapo bidi.
 
Kiukweli kunashida kubwa elimu na uelewa kwenye majesh yetu yoote tanzania.

Mtu mwenye lank ya ruteni anaulizwa uliandika kwenye mapokez ya ofice aliyoingia ,heti anajivunia kitambulisho tu..!!

Yaan askari hajui hata umuhimu wa kuandika kwenye kitabu...
Anajigamba mm mwanajeshi bwana...!!
Hovyo kabisa.
 
Nashon: Wewe na mpelelezi wako hamkuona umuhimu wa kuweka simu Moja Chini ya Surveillance, kuweza kurekodi pindi Mbowe atakapopiga

Shahidi: hapakuwa na umuhimu

Nashon:
sasa shahidi umetoa hapa meseji, Je unaweza kutoa meseji hata moja yenye mwelekeo wa kupanga UGAIDI??

Shahidi: hakuna meseji ya neno GAIDI
 
Huyo anapoteza muda wa mahakama kwa kuchukua muda mrefu wa kuuliza mwaswali ambayo ni irrelevant hana lolote. Ukitaka kujua anauliza maugoro fuatilia issue ya P.G.O kwenye trial within trial rulling yake ilikujaje huko amepoteza muda mreefu kuuliza maugoro na wafuasi wake kwenye maudaku yao ya space ya maria waliamini kuwa wameshinda , uliona majibu yalitokaje?
Jitie dole halafu nusa waweza punguza hasira
 
Back
Top Bottom