Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
Muundo wa majeshi yetu ni copy na past ya marekani na ipo hivyo section 9,platoon 27, Combania 54 overUsikariri Bro. Kwenye Organization ni kweli kuna idadi tajwa lakini haimlazimishi mtu kuifuata. Ndio maana kuna - or +. Unaweza kutengeneza Organization itakayo fit hitajio lako.
Hahahahaaa,lugha gongana![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Shahidi: Ilikuwa Kwenye Mgahawa siyo Sober, Sijui Kama Palikuwa panaitwa sober
Hajui unamaanisha nini labda aje umfafanulie.. wamekaririshwa pale Lumumba basi wote ni wanasheria siku hizi.Kuna tofauti kubwa kati ya maswali yanayoulizwa wakati wa EXAMINATION IN CHIEF na CROSS EXAMINATION
Basi acha ikae hivyo ulivyosemaMuundo wa majeshi yetu ni copy na past ya marekani na ipo hivyo section 9,platoon 27, Combania 54 over
Mkuu, huwa nakerwa sana na wanao Quote habari yoooooooteeeee, kisha anaandika mistari miwili. Ki ukweli, wanatupa shida sana kuendelea kusoma maoni ya watu wengine!Mkuu ndo u quote habari yote??
duh jamaa yupo kwenye wakati mgumu sana, na inaonekana uelewa wake ni mdogo.Nashon: Na ni kweli Ujamwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Huyo Admin Officer ni Mmoja au Watu tofauti
Shahidi: Umenisikia Vibaya Nilisema Nilienda Ofisini Nikapitia File
Nashon: Ni Ushahidi Wako Ulipitia File
Shahidi: Ndiyo
Nashon: ilikuwa Tarehe ngapi
Shahidi: Sikumbuki
Nashon: Lilikuwa ni Faili namba Ngapi
Shahidi: Sikumbuki
Hivi huyu ni Urio wa wapi ..... !!?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Shahidi: Ilikuwa Kwenye Mgahawa siyo Sober, Sijui Kama Palikuwa panaitwa sober
Ni kweli 9 kila section kiongozi wake koplo anakuwa wa kumi na Luteni anakuwa kiongozi wa platoon ya watu 30 yeye ni wa 31 unaweza kuona hili kwenye gwaride ukipenda!Usikariri Bro. Kwenye Organization ni kweli kuna idadi tajwa lakini haimlazimishi mtu kuifuata. Ndio maana kuna - or +. Unaweza kutengeneza Organization itakayo fit hitajio lako.
Vumilia Vurumai la Vumvi(VVV)... Luteni Ni watu wadogo Sana jeshini. Kama ingelikuwa Polisi, then Nyota mbili is somehow something.Kuna watu humu wanafikiri Luteni ni mtu mkubwaaa, eti kila kitu SIRI, SIRI - Luteni ana siri gani za jeshi? Kwanza kama hamjui cheo cha Luteni ukifika miaka 45 unaondoka jeshini unless uwe ume-specialize na kupanda kuwa Captain.
Cheo chenye mamlaka walau kidogo ni kuanzia MEJA kwenda juu - hawa wengine ni mambo ya kuvumilia vumbi na jua kali.
Kwani aliyetafuta X-Makomandoo ni nani?Huyu Gaidi Mboe aliwarubuni hao jamaa, mipango yake ilikuwa kuvuruga amani ya nchi na sio kumlinda.
eti bila aibu linadai walikuwa walinzi!!!
jambazi mkubwa huyu.
Huyu Gaidi alikuwa na mtandao ndani kwa ndani yaani alikuwa na vibaraka wengi ambao walikuwa wanamsaidia jinsi ya kuihujumu serikali. huyu lazima achezee miaka ya kutosha.
Hakimu naomba haihirisho naona shahidi sio huyu tuliyekubaliana kikao cha mwishoShahidi huyu kibokoView attachment 2097410
[emoji1787]Hakimu naomba haihirisho naona shahidi sio huyu tuliyekubaliana kikao cha mwisho
eti VIP Protection,Kwani aliyetafuta X-Makomandoo ni nani?
Aliyekutana X-Makomondoo Morogoro ni nani?
Nina aliyetafakari kwa umakini kukubali kutafuta vijana wa Vp protection na Huku akijua ni kwenda kutekeleza Ugaidi ni Nina?
Urio ni kituko kuliko hata Jumanne alivyoborongaHakimu naomba haihirisho naona shahidi sio huyu tuliyekubaliana kikao cha mwisho
Jitie dole halafu nusa waweza punguza hasiraHuyo anapoteza muda wa mahakama kwa kuchukua muda mrefu wa kuuliza mwaswali ambayo ni irrelevant hana lolote. Ukitaka kujua anauliza maugoro fuatilia issue ya P.G.O kwenye trial within trial rulling yake ilikujaje huko amepoteza muda mreefu kuuliza maugoro na wafuasi wake kwenye maudaku yao ya space ya maria waliamini kuwa wameshinda , uliona majibu yalitokaje?