Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake: Kesi imeahirishwa hadi 28/01/2022, Luteni Denis Urio kuendelea na ushahidi wake

Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake: Kesi imeahirishwa hadi 28/01/2022, Luteni Denis Urio kuendelea na ushahidi wake

Urio hata kama alienda kuripoti kwa dci, kama alikuwa kuna uhalifu unaenda kutendeka aka ufacikitate ni kosa naye aunganishwe kwenye kesi,

Yaaani unawezesha uhalifu kutendeka alafu unajipeleka polisi alafu BADO uko mtaani unadunda, huyu DCI naye bogus tu.

Baada ya kugundua mbowe ana nia ovu ya kutafuta walinzi na kwenda kuripoti kwa dci baadaye alitakiwa kumujiweka mbali na mbowe, hata kama aliombwa na DCI kuendelea kupanga uhalifu kea nia ya kubaini uhalifu, alitakiwa kukataa kwa kuwa hana taaluma ya upelelezi
 
Hapa ni kuwa urio alishiriki kutenda uhalifu Ili kubaini uhalifu, ndo maana hii kesi ni ngumu

je baada ya kubaini vijana wake watatumikishwa kwenye ugaidi tofauti na lengo la awali kwanini hakuwapigia simu Ili waondoke wasikamatwe

Je ni lini alibaini kuwa wanaenda kutumika kwenye ugaidi baada ya kukamatwa au kabla ya kukamatwa

Luteni ni Nani Jeshini? Nini Kilimfanya Urio Aende Moja kwa Moja Kwa DCI na Si Mwingine yeyote? Nini kilimfanya Afikirie kwamba Mtu wa Kwanza ni DCI
 
Huyu urio aligundua uhalifu lini?

Je ni pale alipoambiwa na mbowe kuwa anataka kuchukua nchi KWA njia yoyote

je Ni pale alipoombwa amtafutie walinzi
Je ni pale alipotumiwa miamala

Je ni pale alipoambiwa na bwire kaxi imebadilika

Au ni pale vijana wake walipokamatwa na kufunguliwa mashitaka
 
Ukiisha kuripoti polisi si unawaachia wao wahangaike, ni vipi polisi wakutwishe zigo ambalo huna taaluma nalo
 
Sasa haya ndo Mambo mnatakiwa mjiulize.
Mbowe alikuwa anamtumia hela kamanda urio za kazi gani?
sio kulalamika tu
..hiyo miamala at least ingetumika kwenye mambo yanayohusiana na ugaidi, kwa mfano kununua silaha, etc.

..nimesoma kwamba lt.urio alitumia miamala kununua chakula, na hakuna mahala popote ambapo ameeleza miamala ilitumika ktk mambo yanayohusiana na ugaidi.
 
Baada ya kuona amekuwa mwenyekiti wa kudumu Mboe aliamua kukigeuza chama kama kampuni yake binafsi na kuanza kukitumia chama kama kichaka cha kupanga mipango ya kihalifu dhidi ya Serikli/nchi.
tulimshauri mara kadhaa ang'atuke lkn aliye diriki kugombea nafasi hiyo aligeuka kuwa adui wake!! kumbe alikuwa na agenda za kimafia dhidi ya serikali.
sasa yamemkuta.
kAKA SIJUI UNAONGELEA NINI,,HEBU CHUJA YAKUONGEA.MARA ZOTE MWENYE HEKIMA,HAROPOKI,UKIONA ANAROPOKA,SIO MTU MWEMA.HEBUWA NDANI YA WAJA WEMA.
 
Sasa hayo ndo maswali mnatakiwa mjiulize.
Mbowe alikuwa na ishu gani na kamanda urio MPAKA amtumie hela.
Wenzenu wanawabana kwenye hayo MAELEZO.
Na hapo ndipo kesi yenyewe ilipo.
Kwani Mbowe akiwasiliana na mtu ndo ugaidi? Kwani Mbowe akimtumia mtu pesa ndo ugaidi? Kumbe wanaposema akili ni ndogo,kumbe ni kweli.Sijaona popote ambapo hata huyo Urio anapokiri kwamba alikuwa a organize watu kwa ajili ya ugaidi.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787].ndo majibu yake hayo?
hii kesi mbowe anaenda kufungwa.
Maana Ana wafuasi vichwa tope.
Hamjiulizi chat za mbowe ziliingia vipi kwenye simu ya kamanda urio,
Hamjiulizi Kama mbowe anafahamiana na kamanda urio, hamjiulizi Kama mbowe alikuwa Ana chat na kamanda urio.
Wenzenu Wana Jenga hoja kwenye hayo maeneo.
Mtaelimika lini nyie watu
Akili yako inaendana kabisa na jina lako. Pole sana
Screenshot_20220127-110149.jpg
 
Baada ya kuona amekuwa mwenyekiti wa kudumu Mboe aliamua kukigeuza chama kama kampuni yake binafsi na kuanza kukitumia chama kama kichaka cha kupanga mipango ya kihalifu dhidi ya Serikli/nchi.
tulimshauri mara kadhaa ang'atuke lkn aliye diriki kugombea nafasi hiyo aligeuka kuwa adui wake!! kumbe alikuwa na agenda za kimafia dhidi ya serikali.
sasa yamemkuta.
Dada uko kwenye siku zako punguza mihemko
 
Yaani chadema wanatia aibu Sana.
Hata Mimi nilikuwa namtetea Sana mbowe.
Ila kwa taarifa za huyu shahidi kamanda urio zinanifanya nikuulize Mara mbili NDIVYO mtu mwenye AKILI anatakiwa afanye.
Kamanda urio anasema alikutana na mbowe,akasema akampa mipango amtafutie vijana ,akasema wakawa wanachat, na hela akamtumia.
Wanachotakiwa kujiuliza watu wa chadema he hizo chat ni za mbowe?
Je mbowe na urio wanafahamiana vipi?lakini kulalamika tu haisaidii.
Kuna sehemu mwenyekiti amejichanganya.
Mnapewa ukweli nyie ndezi wa Mbowe.
Acheni ujuaji wa kwenye Mbege.
 
Kingai nilikuambia ww ni zoba fulani, na sasa unaanza kuelewa. Maafisa wengi wa vyombo vya dola ni vilaza ndio maana huwa wanatumia mabavu hata sehemu isiyohitaji akili. Matokeo yake watawala wa CCM wameshajua ni vilaza hivyo wanawatumia kwenye siasa chafu. Sasa wanasiasa wa CCM wamewatumia Mmebaki wenyewe mahakamani ukilaza wenu ukianikwa.
Aisee hawa jamaa ni wajinga kupitiliza.
 
Mbowe ANATUHUMIWA kupanga mipango ya kufanya ugaidi.
Na huo mpango alimshirikisha kamanda urio.
Na kamanda urio ndiye aliyemchoma mbowe hii Ina maana Kama kamanda urio asingemchoma mbowe huo ugaidi ungefanyika Ila tayari polisi walikuwa na taarifa kutoka kwa kamanda urio wakazuia kwa kuwakamata vijana wake mbowe
Kwa hyo hapa mbaya wenu NI kamanda urio ndie aliyemchoma mbowe.
Sasa ukweli anaujua mbowe na kamanda urio.
Hii kesi mkiacha kuiangalia kiushabiki wa vyama uenda mkapata mwanga.
Na ndo mana kamanda urio amepeleka ushahidi wa vikao walivyokaa mikocheni,chat,calls na miamala ya fedha.
Sasa hapa inatakiwa AMKANE URIO.Kwamba hajawahi kuchat nae Wala kumpigia Simu,Wala kumtumia hela.
Wewe ndiyo huna.

Hizo charts na miamala haina tatizo mpaka sasa.
Screenshot_20220127-110149.jpg
 
Kutuma hela sio kosa.
Tatizo Yule uliyemtumia ndo amegeuza kuwa kosa.
Hatujui urio na mbowe Wana biashara gani.
Ila kitendo Cha chat za mbowe,calls za mbowe na miamala ya fedha kuingia kwenye simu ya kamanda urio.inatia mashaka.ziliingia vipi?
Na urio anasema mbowe alikuwa anafanya mipango ya kutekeleza ugaidi?
Mbona NYIE wagumu kuelewa?
Mwenyekiti Kuna sehemu AMEKOSEA.
Wenzake wanambana kwenye hayo Mambo 3.
Uza ubongo huo Kingai maana unakaa nao kwa hasara. Toka lini kukaa kikao na kutuma hela ikawa kosa? Au kila aliyekaa kikao na Urio na kumtumia hela alikuwa anapanga ugaidi? Huu upuuzi umeongea hapa nimecheka kwa dhihaka kwa mtu mzima kama we kuusema.
Screenshot_20220127-110149.jpg
 
Mnachoshindwa kuelewa hii kesi ni kitu kimoja.
Mbowe hatuhumiwi amefanya ugaidi.
Bali ANATUHUMIWA KUTAKA KUPANGA MATENDO YA KIGAIDI.ambayo wakati anapanga akamshirikisha mtu sio.
Ndo maana akawa Ana chat nae anampigia simu na kumtumia hela.
Mtaelimika lini nyie watu!?
KIUFUPI MKUBALI MKATAE MWENYEKITI KUNA SEHEMU KAKOSEA.
hauwezi kupanga mipango na mwanajeshi ukawa salama.
we jamaa ni empty set kabisa yaani mweupe peee upstairs ingekua kishule shule basi ungekua una buruza mkia tuu
 
[emoji16][emoji16][emoji16].ili ndo tatizo lenu
Hamna AKILI za kufikiri.
Mlitakiwa mkatae kuwa hizo chat,calls na miamala ya fedha sio za mbowe hapo kidogo mngekuwa mmeanza kujenga hoja
we jamaa ni empty set kabisa yaani mweupe peee upstairs ingekua kishule shule basi ungekua una buruza mkia tuu
 
Urio jana amekalia kili cha moto....

Nafikiri ndio shahidi wa hovyo kuliko wote.... Na msingi wa hii kesi ni ushahidi wa huyu jamaa vile yeye anahusika kutokea mwanzo wa kesi.

-Acha inyeshe-
 
Vipi hao manyani wa serikali wamekuja na porojo gani leo!?
 
Kesi ya michongo na wachangiaji wa michongo wapo wengi sana kwenye huu uzi mpaka unajijuliza huyu amekalia vein moja ikapelekea ubongo kukosa oksijeni ya kutosha ndo maana uwezo wa ufikiri wake umepungua
 
Back
Top Bottom