Hapa ni kuwa urio alishiriki kutenda uhalifu Ili kubaini uhalifu, ndo maana hii kesi ni ngumu
je baada ya kubaini vijana wake watatumikishwa kwenye ugaidi tofauti na lengo la awali kwanini hakuwapigia simu Ili waondoke wasikamatwe
Je ni lini alibaini kuwa wanaenda kutumika kwenye ugaidi baada ya kukamatwa au kabla ya kukamatwa
..hiyo miamala at least ingetumika kwenye mambo yanayohusiana na ugaidi, kwa mfano kununua silaha, etc.
..nimesoma kwamba lt.urio alitumia miamala kununua chakula, na hakuna mahala popote ambapo ameeleza miamala ilitumika ktk mambo yanayohusiana na ugaidi.
kAKA SIJUI UNAONGELEA NINI,,HEBU CHUJA YAKUONGEA.MARA ZOTE MWENYE HEKIMA,HAROPOKI,UKIONA ANAROPOKA,SIO MTU MWEMA.HEBUWA NDANI YA WAJA WEMA.Baada ya kuona amekuwa mwenyekiti wa kudumu Mboe aliamua kukigeuza chama kama kampuni yake binafsi na kuanza kukitumia chama kama kichaka cha kupanga mipango ya kihalifu dhidi ya Serikli/nchi.
tulimshauri mara kadhaa ang'atuke lkn aliye diriki kugombea nafasi hiyo aligeuka kuwa adui wake!! kumbe alikuwa na agenda za kimafia dhidi ya serikali.
sasa yamemkuta.
Kwani Mbowe akiwasiliana na mtu ndo ugaidi? Kwani Mbowe akimtumia mtu pesa ndo ugaidi? Kumbe wanaposema akili ni ndogo,kumbe ni kweli.Sijaona popote ambapo hata huyo Urio anapokiri kwamba alikuwa a organize watu kwa ajili ya ugaidi.
Akili yako inaendana kabisa na jina lako. Pole sana
Dada uko kwenye siku zako punguza mihemkoBaada ya kuona amekuwa mwenyekiti wa kudumu Mboe aliamua kukigeuza chama kama kampuni yake binafsi na kuanza kukitumia chama kama kichaka cha kupanga mipango ya kihalifu dhidi ya Serikli/nchi.
tulimshauri mara kadhaa ang'atuke lkn aliye diriki kugombea nafasi hiyo aligeuka kuwa adui wake!! kumbe alikuwa na agenda za kimafia dhidi ya serikali.
sasa yamemkuta.
Mnapewa ukweli nyie ndezi wa Mbowe.
Acheni ujuaji wa kwenye Mbege.
Aisee hawa jamaa ni wajinga kupitiliza.Kingai nilikuambia ww ni zoba fulani, na sasa unaanza kuelewa. Maafisa wengi wa vyombo vya dola ni vilaza ndio maana huwa wanatumia mabavu hata sehemu isiyohitaji akili. Matokeo yake watawala wa CCM wameshajua ni vilaza hivyo wanawatumia kwenye siasa chafu. Sasa wanasiasa wa CCM wamewatumia Mmebaki wenyewe mahakamani ukilaza wenu ukianikwa.
Wewe ndiyo huna.
Hizo charts na miamala haina tatizo mpaka sasa.
Uza ubongo huo Kingai maana unakaa nao kwa hasara. Toka lini kukaa kikao na kutuma hela ikawa kosa? Au kila aliyekaa kikao na Urio na kumtumia hela alikuwa anapanga ugaidi? Huu upuuzi umeongea hapa nimecheka kwa dhihaka kwa mtu mzima kama we kuusema.
we jamaa ni empty set kabisa yaani mweupe peee upstairs ingekua kishule shule basi ungekua una buruza mkia tuuMnachoshindwa kuelewa hii kesi ni kitu kimoja.
Mbowe hatuhumiwi amefanya ugaidi.
Bali ANATUHUMIWA KUTAKA KUPANGA MATENDO YA KIGAIDI.ambayo wakati anapanga akamshirikisha mtu sio.
Ndo maana akawa Ana chat nae anampigia simu na kumtumia hela.
Mtaelimika lini nyie watu!?
KIUFUPI MKUBALI MKATAE MWENYEKITI KUNA SEHEMU KAKOSEA.
hauwezi kupanga mipango na mwanajeshi ukawa salama.
we jamaa ni empty set kabisa yaani mweupe peee upstairs ingekua kishule shule basi ungekua una buruza mkia tuu
Aisee! Inashangaza sana na ni aibu kwa jeshi.Huwa naheshimu sana maafisa kuanzia nyota moja kuendelea kumbe ndio wajinga hivi.
Mlitakiwa mkatae kuwa hizo chat,calls na miamala ya fedha sio za mbowe hapo kidogo mngekuwa mmeanza kujenga hoja