betty marandu
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 1,163
- 722
Wewe Tumia UBONGO,Mbowe kuwasiliana na Urio hakuna kosa au kama lipo liseme ni lip?Sasa Mbowe kwa nini akane kuwa amfahamu?Au huo ujinga wako unakuambia ukane kila kitu?Ewaah .Sasa hapo inategemea umemtumia hela kwa malengo gani.
Haiwezekani mbowe hamjui kamanda urio alafu chat za mbowe na calls na miamala ya fedha vionekane katika simu ya kamanda urio.
Ndo maana nasema mbowe Kuna sehemu AMEKOSEA.
Sasa ili urio aonekane MUONGO inabidi aje AMKANE urio kuwa hamfahamu na Wala hawajawahi kukutana Wala kupigiana simu Wala kumkutumia hela.
Hapo kesi ndipo ilipo.
Kwani Mbowe kakuambia hajuani na Urio?Au Urio hawajuani na Mbowe?Kesi siyo nzito wewe ndo mzuto kielewaNdioo.
Ndo maana nashauri mngesoma kwanza ushahidi aliouleta urio.
Hapo kwa urio kuchomoka NI ngumu.
NI sawa na Mimi na wewe hatujuani alafu chat na calls zangu ziwe katika simu yako.
Mpaka miamala ya fedha iwe katika simu yako.
Ndo maana nasema wafuasi wa mbowe kabla ya kulalamika kuwa kesi imetengenezwa wajiulize hivyo vitu vimefika vipi kwenye simu ya kamanda urio?
maana huyu kamanda urio ndo anasema walikaa kikao na mbowe kule mikocheni na mbowe ndiye aliyemuita.
Kesi nzito hii.
Kweli kabisa tatizo limeanzia hapo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna hafanani kabisa na anavyoelezewa humu, khaaaaaah.
Kabla ya kujiunga na jeshi, alikua na elimu ya 4m 4 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo tatzo lilipo.
Kwani si kila kitu kimewekwa wazi walikuwa wanampango wa kuajiri walinzi,urio amsaidie kupata watu wenye uwezo ndo maana ya mawasiliano na kutumumiana pesa.Shida iko wapi? Tumia vizuri kichwa chako au mwenzetu una boga?Kwani mm na wewe tukiwasiliana na kutumiana pesa unitafutie house girl kuna shida?Nina mashaka Sana na kilicho ndani ya kichwa chako
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Wakati huo huo charge sheet inadai hizo ndizo zilikuwa pesa za ugaidi. Mwenzetu bado huoni kuna tatizo...!?
Kwani Mbowe kakuambia hajuani na Urio?Au Urio hawajuani na Mbowe?Kesi siyo nzito wewe ndo mzuto kielewa
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Sasa unataka hoja wakati weye uu mjinga?Erevuka kwanza ndo uombe hoja sawa mjinga?Hoja zipi ambazo unazo?
Sasa unataka hoja wakati weye uu mjinga?Erevuka kwanza ndo uombe hoja sawa mjinga?
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kwa kuwasiliana.Na wana haki kiwasiliana .kuna tatizo mjinga?[emoji16][emoji16][emoji16].kwanza nikwambie kitu kimoja Mimi hata mafunzo ya mgambo sijawahi kupitia.
Pili Mimi nakoment kulingana na ushahidi wa kamanda urio alioutoa.
Ebu tumalizane ubishi.
Naomba uniambie chats,calls na miamala ya fedha ya mbowe viliingia vipi kwenye simu ya kamanda urio?
Kwa kuwasiliana.Na wana haki kiwasiliana .kuna tatizo mjinga?
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Hayo ni maneno ya Urio. Vilevile zinaweza kuitwa za kusafirishia Walinzi. It's his word against Mbowe's word.pesa za ugai si zimetumika kusafirishia vijana wa kwenda kufanya ugaidi?
Au hauoni Kuna tatizo hapo?
Hayo ni maneno ya Urio. Vilevile zinaweza kuitwa za kusafirishia Walinzi. It's his word against Mbowe's word.
Halafu mpaka sasa hajasema zile laki 2 amezifanyia nini. Inawezekana amezila mwenyewe.....!!
Kama ulikuwa hujasikia sasa umesikia.Yote yanawezakana lakini nikuulize swali dogo tu.
Umeshawahi kuona au kusikia mtu anamtumia mwanajeshi amtafutie walinzi?
pesa za ugai si zimetumika kusafirishia vijana wa kwenda kufanya ugaidi?
Au hauoni Kuna tatizo hapo?
Kama ulikuwa hujasikia sasa umesikia.
..nilidhani wakati Lt.Urio anawasafirisha vijana walikuwa hawajawa magaidi.
..baada ya kufika kwa Mbowe na " kubadilishiwa kazi " ndipo tunapoweza kusema walikuwa magaidi.
..according to shahidi / Lt.Urio vijana walikuwa walinzi ila walipofika mikononi kwa Mbowe wakatumwa kumdhuru Sabaya / ugaidi.
..ukisema vijana walikuwa magaidi toka mwanzo utakuwa unamtia hatiani hata Lt.Urio.
..Kosa lake litakuwa kusafirisha / ku mobilize magaidi. Tena anaweza kupata adhabu mbaya kuliko ya Mbowe kwasababu ataonekana yeye ndio mtu wa field.
Mwambie huyo mjingamimi Lt Leo Urio keshamsafisha Mbowe na Makomandoo washtakiwa kuwa sio Magaidi..nilidhani wakati Lt.Urio anawasafirisha vijana walikuwa hawajawa magaidi.
..baada ya kufika kwa Mbowe na " kubadilishiwa kazi " ndipo tunapoweza kusema walikuwa magaidi.
..according to shahidi / Lt.Urio vijana walikuwa walinzi ila walipofika mikononi kwa Mbowe wakatumwa kumdhuru Sabaya / ugaidi.
..ukisema vijana walikuwa magaidi toka mwanzo utakuwa unamtia hatiani hata Lt.Urio.
..Kosa lake litakuwa kusafirisha / ku mobilize magaidi. Tena anaweza kupata adhabu mbaya kuliko ya Mbowe kwasababu ataonekana yeye ndio mtu wa field.
Kwani aliyekwenda kumchoma mbowe ni Nani?