Thank youIt is Roving Journalist
Jamaa unapenda kujipa matumaini sanaBecause, obviously, walisiginwa na kuguyuguzwa na kitu kizito kichwani jana; so, leo wanatarajia kuona kama watafutwa machozi. Nawatahadharisha isije kuwa kama jana kwenye mechi ya Simba SC vs. Kagera Sugar!
Heri ya mwaka mpya 2022 mkuu.Wanaongea Kiswahili au Kiingereza?
Nipo bwana.Heri ya mwaka mpya 2022 mkuu.
Siku nyingi sijakusoma kabisa.
Asante sana mkuuNipo bwana.
Heri ya mwaka mpya na kwako pia.
Una taka watu wasiende kutoa ushahidi pale wakitumia hiyo lugha ya malkia?Wanaongea Kiswahili au Kiingereza?
Hapana Pythagoras na pythagoras jr . Mimi ni miongoni mwa wale wanaotafuta ukweli wa kweli wa jambo lenyewe. Because, FM na members wote wa CHADEMA wamekiri hakuna kosa la ugaidi.Jamaa unapenda kujipa matumaini sana
Na sisi tunasema wacha ibaki hivyo kama nyaraka ya utambuzi.Shahidi: Mheshimiwa Jaji Ningependa Mahakama itambue hiyo Nyaraka
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi anaomba itambue Kama Kielelezo
Wakili PETER KIBATALA: OBJECTION Mheshimiwa Jaji Shahidi hajasema Ipokelewe Kama Kielelezo, Bali amesema Anaomba Mahakama itambue Nyaraka
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji sisi ni Maafisa Wa Mahakamani tuna Wajibu wa kusaidia
Jaji: Wakili Kibatala
Kibatala: Mheshimiwa kama Anaomba Kwa ajili ya a Utambuzi Ibakie hivyo
Hata ukienda unalima kidogo unachungulia Jfs. Yaaninunaweza kukuta unamaliza ekari nzima kwa siku moja.Leo hata Shamba siendi aisee
Kabla mjumbe hujatuletea habari, naomba msaada wa kujua mambo yafuatayo.
1. Ni mamlaka gani huwa inaamua kutegeneza michongo, mamlaka ambayo hakuna chombo kingine kinaweza kuhoji? Hii mamlaka husimamiwa na chombo gani kisichoweza kutambua kwamba mamlaka hazifanya sawa?
2. Kesi za michongo kama hizi hutumia gharama kubwa sana. Juzi Mama amewaambia polisi waache kubambikia watu kesi, na PCCB wakafuta kesi kama sikosei 300 za michongo. Ninategemea kwa dhamira hiyo hiyo, Mamlaka zinatakiwa ziwawajibishe watu wote wanaohusika kwenye hiyo michongo kwa matumizi mabaya ya madaraka, uzembe kazini, uvunjaji wa katiba, kula njama na uhujumu uchumi.
3. Baada ya PCCB, kufuta kesi 300 za michongo, hatua gani zimechukuliwa kwa wachongaji?
Duh nimejikuta nacheka kwa sautiUpepo unazidi kuvuma kwa kasi sio muda tutauona uchi wa kuku.
Kwenye hizo sms alizozisoma Bro URIO sijaona Ugaidi hapo hata mmoja - labda nyie wenzangu,.