Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake: Kesi imeahirishwa hadi 28/01/2022, Luteni Denis Urio kuendelea na ushahidi wake

Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake: Kesi imeahirishwa hadi 28/01/2022, Luteni Denis Urio kuendelea na ushahidi wake

Because, obviously, walisiginwa na kuguyuguzwa na kitu kizito kichwani jana; so, leo wanatarajia kuona kama watafutwa machozi. Nawatahadharisha isije kuwa kama jana kwenye mechi ya Simba SC vs. Kagera Sugar!
Jamaa unapenda kujipa matumaini sana
 
Wanaongea Kiswahili au Kiingereza?
Una taka watu wasiende kutoa ushahidi pale wakitumia hiyo lugha ya malkia?

Karibu mawasiliano ushuhudie trip za kwenda toilet kua nying kulinganisha na majibu watakayo kua wana yajibu hawa mashahidi wa mchongo
 
Jamaa unapenda kujipa matumaini sana
Hapana Pythagoras na pythagoras jr . Mimi ni miongoni mwa wale wanaotafuta ukweli wa kweli wa jambo lenyewe. Because, FM na members wote wa CHADEMA wamekiri hakuna kosa la ugaidi.

Maswali na hoja na viulizo ni kawaida sana kama hatujui kila kitu. Nakuhakikishia, iwapo itathibitishwa vinginevyo mahakamani, mimi n'takuwa wa kwanza kukuungeni mkono sawa na hukumu ya mahakama!
 
Shahidi: Mheshimiwa Jaji Ningependa Mahakama itambue hiyo Nyaraka

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Shahidi anaomba itambue Kama Kielelezo

Wakili PETER KIBATALA: OBJECTION Mheshimiwa Jaji Shahidi hajasema Ipokelewe Kama Kielelezo, Bali amesema Anaomba Mahakama itambue Nyaraka

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji sisi ni Maafisa Wa Mahakamani tuna Wajibu wa kusaidia

Jaji: Wakili Kibatala

Kibatala: Mheshimiwa kama Anaomba Kwa ajili ya a Utambuzi Ibakie hivyo
Na sisi tunasema wacha ibaki hivyo kama nyaraka ya utambuzi.
 
Kabla mjumbe hujatuletea habari, naomba msaada wa kujua mambo yafuatayo.

1. Ni mamlaka gani huwa inaamua kutegeneza michongo, mamlaka ambayo hakuna chombo kingine kinaweza kuhoji? Hii mamlaka husimamiwa na chombo gani kisichoweza kutambua kwamba mamlaka hazifanya sawa?

2. Kesi za michongo kama hizi hutumia gharama kubwa sana. Juzi Mama amewaambia polisi waache kubambikia watu kesi, na PCCB wakafuta kesi kama sikosei 300 za michongo. Ninategemea kwa dhamira hiyo hiyo, Mamlaka zinatakiwa ziwawajibishe watu wote wanaohusika kwenye hiyo michongo kwa matumizi mabaya ya madaraka, uzembe kazini, uvunjaji wa katiba, kula njama na uhujumu uchumi.

3. Baada ya PCCB, kufuta kesi 300 za michongo, hatua gani zimechukuliwa kwa wachongaji?

Hizo kesi zilizotangazwa kufutwa, nao ulikuwa mchongo tu!

Zilianza upya pale pale baada ya kutangazwa kufutwa kwenye magazeti

Nenda Kisut pale usipozikuta na zinapigwa tarehe kila siku, mashahidi hawatokei!
 
Urio anatupotezea muda. Mbona mawasiliano ya telegram ya kawaida Sana. Hakuna sehemu inayoonesha njama au utekelezaji wa ugaidi. Zaidi ya mgonjwa anaendeleaje, nipo kwenye kamati kuu, nimetuma laki tano na security Ni muhimu wasije wakatelekezwa. Mimi nilitegemea message za and a vijana watano kukata miti, au nadhani vilipuzi vipo tayari au mashine za kukata miti zimewasili?.

Kama mawasiliano yao yalikuwa hivyo sidhani na hakuna mawasiliano mengine sidhani Kama kutakuwa na jipya.
 
Back
Top Bottom