theboygamba
Member
- Oct 21, 2021
- 13
- 8
Kam anawamaliza mbona kagoma kujbu maswali anasingizia kiapo chajeshi na hapo bado maswali mengi maana kayaganyagaWale waliokuwa wanadanganyana kwenye kitchen Party ya akina maria na fatuma kuwa urio ,urio hayupo sasa huyo hapo anafunguka na maushahidi mazito ta telegram, huyu shahidi ndio anawamaliza kabisa
Yale maswali angeweza kusema tu hajui, maana yeye concern yake ni comando 30, walio chini yakeSitashangaa kama Jaji akiailisha kutoa uamuazi mpaka kesho ili wapate muda wa kumcoach Urio ....!!
Hat nimefatilia naona hii mission illipangwa ndo maan wameomba wakasome tena ili wajipangeHuenda huyu jamaa wala hakuteswa na Mosses Lihenje huenda yupo.
Huenda kuna watu waliingizwa kingi.
Mission hii ilipangwa naona
Subiri anafanya Mawasiliano na kina Kingai na Chogolo wa CCMMbona Jaji harudi?
Katiba mpya ndio "solution to all this mess".Kabla mjumbe hujatuletea habari, naomba msaada wa kujua mambo yafuatayo.
1. Ni mamlaka gani huwa inaamua kutegeneza michongo, mamlaka ambayo hakuna chombo kingine kinaweza kuhoji? Hii mamlaka husimamiwa na chombo gani kisichoweza kutambua kwamba mamlaka hazifanya sawa?
2. Kesi za michongo kama hizi hutumia gharama kubwa sana. Juzi Mama amewaambia polisi waache kubambikia watu kesi, na PCCB wakafuta kesi kama sikosei 300 za michongo. Ninategemea kwa dhamira hiyo hiyo, Mamlaka zinatakiwa ziwawajibishe watu wote wanaohusika kwenye hiyo michongo kwa matumizi mabaya ya madaraka, uzembe kazini, uvunjaji wa katiba, kula njama na uhujumu uchumi.
3. Baada ya PCCB, kufuta kesi 300 za michongo, hatua gani zimechukuliwa kwa wachongaji?
Ngoja tuone,, maswali hayo ni irrelevant and immaterialHomeboy aliekuja kutoa ushahidi pengine sio Homeboy Original.
Mawakili wa utetezi wana haki ya kumdodosa ili kujua weledi wake kikazi ndio watagundua kuwa huyu ni Urio wa ukweli sio pandikizi la mtu mwingine kwa lengo kutoa ushahidi wanaoutaka wao.
Hiyo lugha haitutoki kabxa kama vp arudi tena kuandika ujumbeMkuu ungekua unaandika kwa lugha ya Kiswahili, hiyo nyingine haikutaki
Watammezesha vitu ambavyo hajui ataulizwa nini, ndio wanaenda kumchanganya kabisawanaenda mdogomdogo ili kesho wawe na mambo mengi halafu wairushe hadi j3 na wikiendi wammezeshe madesa urio
Wankuambia mahakama ilicheka maana shahidi anabahatishaMliopo mahakamani huko,Mbowe kavaa miwani kweli?[emoji3][emoji3],Shahidi ameanza kuona Giza mapema mno ndugu zangu.
Wewe nawe ni kilaza kwel. Kwan hizo msg na text za telegram leo ndio unazisikia. Ushaidi wa mwanzo alieleza kila kitu sema mwandishi aliruka ilo eneo, na uzi ukaja huku ukilaumu kwanini aliruka. Pitia mwananchi online utaonaShahidi Urio ameeleza mahakama kwamba alikabidhi simu zake kama vielelezo kwa ajili ya investigation.Lkn kumbuka kuna shahidi mtaalamu wa forensic ambaye alikwishatoa ushahidi wake kwamba ktk investigation hakupata text wala video kwenye vile vielelezo alivyofanyia kazi.
Leo shadidi anaeleza mahakamani kuwa kuna txt za telegram za mawasiliano kati yake na Mbowe.
Sawa mkuu.Hapana Pythagoras na pythagoras jr . Mimi ni miongoni mwa wale wanaotafuta ukweli wa kweli wa jambo lenyewe. Because, FM na members wote wa CHADEMA wamekiri hakuna kosa la ugaidi.
Maswali na hoja na viulizo ni kawaida sana kama hatujui kila kitu. Nakuhakikishia, iwapo itathibitishwa vinginevyo mahakamani, mimi n'takuwa wa kwanza kukuungeni mkono sawa na hukumu ya mahakama!
Hahahaaaa...... sasa kama kiongozi mwenyewe aliyetaka kugaidiwa ni Ole sabaya aliyefungwa miaka 30 jela kwa ujambazi na unyang'anyi wa kutumia silaha, kuna kesi kweli hapo?Hakika huyu ni muungwana aliteleza tu..
johnthebaptist
Hebu ongea ukweli wa Kimungu na sio kichama.
Hii kesi unaionaje?
Weka kando itikadi
Kuna record yoyote ya video au audio?Unakumbuka walifanya kikao mikocheni?
Kuna record yoyote ya video au audio?
Mbiii Mayu?Natulia hapa