Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake: Kesi imeahirishwa hadi 28/01/2022, Luteni Denis Urio kuendelea na ushahidi wake

Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake: Kesi imeahirishwa hadi 28/01/2022, Luteni Denis Urio kuendelea na ushahidi wake

Wale waliokuwa wanadanganyana kwenye kitchen Party ya akina maria na fatuma kuwa urio ,urio hayupo sasa huyo hapo anafunguka na maushahidi mazito ta telegram, huyu shahidi ndio anawamaliza kabisa
Kam anawamaliza mbona kagoma kujbu maswali anasingizia kiapo chajeshi na hapo bado maswali mengi maana kayaganyaga
 
Sitashangaa kama Jaji akiailisha kutoa uamuazi mpaka kesho ili wapate muda wa kumcoach Urio ....!!
Yale maswali angeweza kusema tu hajui, maana yeye concern yake ni comando 30, walio chini yake
 
Kabla mjumbe hujatuletea habari, naomba msaada wa kujua mambo yafuatayo.

1. Ni mamlaka gani huwa inaamua kutegeneza michongo, mamlaka ambayo hakuna chombo kingine kinaweza kuhoji? Hii mamlaka husimamiwa na chombo gani kisichoweza kutambua kwamba mamlaka hazifanya sawa?

2. Kesi za michongo kama hizi hutumia gharama kubwa sana. Juzi Mama amewaambia polisi waache kubambikia watu kesi, na PCCB wakafuta kesi kama sikosei 300 za michongo. Ninategemea kwa dhamira hiyo hiyo, Mamlaka zinatakiwa ziwawajibishe watu wote wanaohusika kwenye hiyo michongo kwa matumizi mabaya ya madaraka, uzembe kazini, uvunjaji wa katiba, kula njama na uhujumu uchumi.

3. Baada ya PCCB, kufuta kesi 300 za michongo, hatua gani zimechukuliwa kwa wachongaji?
Katiba mpya ndio "solution to all this mess".
 
Homeboy aliekuja kutoa ushahidi pengine sio Homeboy Original.

Mawakili wa utetezi wana haki ya kumdodosa ili kujua weledi wake kikazi ndio watagundua kuwa huyu ni Urio wa ukweli sio pandikizi la mtu mwingine kwa lengo kutoa ushahidi wanaoutaka wao.
Ngoja tuone,, maswali hayo ni irrelevant and immaterial
 
Jaman shahid amesema mbowe ni mweusi mlioko hapo karb na mbowe tuambieni saiv amekuwa mweusi
 
Shahidi Urio ameeleza mahakama kwamba alikabidhi simu zake kama vielelezo kwa ajili ya investigation.Lkn kumbuka kuna shahidi mtaalamu wa forensic ambaye alikwishatoa ushahidi wake kwamba ktk investigation hakupata text wala video kwenye vile vielelezo alivyofanyia kazi.
Leo shadidi anaeleza mahakamani kuwa kuna txt za telegram za mawasiliano kati yake na Mbowe.
Wewe nawe ni kilaza kwel. Kwan hizo msg na text za telegram leo ndio unazisikia. Ushaidi wa mwanzo alieleza kila kitu sema mwandishi aliruka ilo eneo, na uzi ukaja huku ukilaumu kwanini aliruka. Pitia mwananchi online utaona
 
Hapana Pythagoras na pythagoras jr . Mimi ni miongoni mwa wale wanaotafuta ukweli wa kweli wa jambo lenyewe. Because, FM na members wote wa CHADEMA wamekiri hakuna kosa la ugaidi.

Maswali na hoja na viulizo ni kawaida sana kama hatujui kila kitu. Nakuhakikishia, iwapo itathibitishwa vinginevyo mahakamani, mimi n'takuwa wa kwanza kukuungeni mkono sawa na hukumu ya mahakama!
Sawa mkuu.
 
Hakika huyu ni muungwana aliteleza tu..

johnthebaptist
Hebu ongea ukweli wa Kimungu na sio kichama.
Hii kesi unaionaje?
Weka kando itikadi
Hahahaaaa...... sasa kama kiongozi mwenyewe aliyetaka kugaidiwa ni Ole sabaya aliyefungwa miaka 30 jela kwa ujambazi na unyang'anyi wa kutumia silaha, kuna kesi kweli hapo?

Mungu wa mbinguni atuhurumie kwa kweli!
 
Back
Top Bottom