Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake: Kesi imeahirishwa hadi 28/01/2022, Luteni Denis Urio kuendelea na ushahidi wake

Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake: Kesi imeahirishwa hadi 28/01/2022, Luteni Denis Urio kuendelea na ushahidi wake

Huyu Gaidi Mboe aliwarubuni hao jamaa, mipango yake ilikuwa kuvuruga amani ya nchi na sio kumlinda.
eti bila aibu linadai walikuwa walinzi!!!
jambazi mkubwa huyu.

Huyu Gaidi alikuwa na mtandao ndani kwa ndani yaani alikuwa na vibaraka wengi ambao walikuwa wanamsaidia jinsi ya kuihujumu serikali. huyu lazima achezee miaka ya kutosha.
Mkuu weka chuki zako binafsi pembeni na angalia uhalisia!Hayo mambo ukiyaweka sana moyoni unaweza jisababishia matatizo ya kiafya!
Subiri kesi ifike mwisho utajua mbivu na mbichi,usihukumu kwani hiyo sio nafasi Yako!
Ukizingatia hayo basi Hukumu yoyote itayotoka haitakutesa nafsi Yako!
Duniani tunapita tu!
 
Kuna watu humu wanafikiri Luteni ni mtu mkubwaaa, eti kila kitu SIRI, SIRI - Luteni ana siri gani za jeshi?

Cheo chenye mamlaka walau kidogo ni kuanzia MEJA kwenda juu - hawa wengine ni mambo ya kuvumilia vumbi na jua kali.
Tulikuwa na Luten 822 kj akitembea mwache atembee, operation ya miaka 50 ya uhuru. C coy
 
Sasa kama ni kila kitu ni SIRI sasa kaja kutoa ushahidi ama kuimba taarabu hapa mahakamani - URIO kazi unayo leo - unafikiri UGAIDi ni kesi ya wizi wa simu, bata na kuku ndugu?.

Mahakama Kuu CHINI YA KIAPO ina mamlaka makubwa mno ndugu zangu !! Sasa mahakama itajuaje kama URIO ni mjeda kweli na ana uzoefu / elimu ya kiwango gani ili ipime ushahidi wake aliotoa kama vinaleta mantiki.
Mwanajeshi anayezuia uhalifu hataki kusema umahiri wake na kozi zake?? Hajui kuwa ndio kutangaza cv kwa manufaa ya baadae? Sasa kaja kutoa ushahidi wa nini?

Swali la wakili Nkungu ni muhimu sana kujua intergrity na uwezo wa Shahidi kwenye kesi
 
Hahahaaaa...... sasa kama kiongozi mwenyewe aliyetaka kugaidiwa ni Ole sabaya aliyefungwa miaka 30 jela kwa ujambazi na unyang'anyi wa kutumia silaha, kuna kesi kweli hapo?

Mungu wa mbinguni atuhurumie kwa kweli!
Case closed.
 
Mkuu weka chuki zako binafsi pembeni na angalia uhalisia!Hayo mambo ukiyaweka sana moyoni unaweza jisababishia matatizo ya kiafya!
Subiri kesi ifike mwisho utajua mbivu na mbichi,usihukumu kwani hiyo sio nafasi Yako!
Ukizingatia hayo basi Hukumu yoyote itayotoka haitakutesa nafsi Yako!
Duniani tunapita tu!
sina chuki binafsi bali nina hasira sana na mtu yeyote anaye chezea amani ya nchi hii.
huyu mboe dhamira yake ilikuwa ni kuichezea amani ya nchi huku akiwa amejificha kwenye kivuli cha uenyekiti wa chama!!
hata hivyo ashukuru sana Mungu Tanznia kuna utawala wa sheria, ingekuwa nchi zingine zisizo fuata utawala wa sheria.....hiiiiiiiiieeeee!!
 
Mawakili wa Serikali wanataka Shahidi asiulizwe maswali ya udadisi - wanamfanyia coverup nafikiri wameshajua kwamba uwezo wake ni mdogo, wakimwacha itakuwa AIBU.
 
Hahahaaaa...... sasa kama kiongozi mwenyewe aliyetaka kugaidiwa ni Ole sabaya aliyefungwa miaka 30 jela kwa ujambazi na unyang'anyi wa kutumia silaha, kuna kesi kweli hapo?

Mungu wa mbinguni atuhurumie kwa kweli!
Ningekua malaika mkubwa mkubwa ningekupigania uingie mbinguni leo[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hujui kitu, nyamaza. Hakuna maswali ya hovyo, kuna majibu ya hovyo na ndio maana unaweza kusikia mtu anaulizwa "homeboy" maana yake nini na akasema "sijui". Ngoja nikupe kionjo kidogo. Urio hakuwepo Ngerengere wakati washitakiwa wanafukuzwa. Lakini anasema alifahamu kutoka Administration kuwa wamefukuzwa. Huyu huyu Urio alikuwa na namba za hawa watu, je walikuwa ni marafiki wa kawaida kwake au alipataje kujua namba zao?? Ataulizwa kabla ya kuwasiliana nao kwa jambo la Mbowe, ni lini tena aliwasiliana nao wakati wakiwa wamefukuzwa. Je aliwafundisha mbinu za jambo lolote? Kwanini yeye ndio achague hawa katika wote anaojua, je alifahamu hawa ndio wanaweza kukata miti, kulipua vituo vya mafuta na masoko? Shahidi ndiye aliyewatambua washitakiwa kabla hawajaja kwa Mbowe - je anafahamu uwezo wao katika kutenda hayo????

By the way, Luteni ni mtu mdogo sana jeshine kutaarifiwa kuwa wamefukuzwa kwa utovu wa nidhamu hasa kama washitakiwa waliondolewa jeshini kwa amri ya kuondoka kambini na wala sio barua ya kuwaachisha kazi. Denis alisikia tu habari za kuondolewa kwao, "hakutaarifiwa". Ngoja aje aulizwe kama taarifa aliyopewa alipewa kwa sababu gani na kwa namna gani.

Kwa kuwa huna uwezo wa kutengeneza "dhana" unataka maswali ya moja kwa moja. Unawaza kama darasa la 4F.
Asante Mkuu, wafungue vichwa vilaza
 
Kwa hyo unataka kusema kamanda urio anamsingizia mbowe?
Hayo waliyoongea kama yana hoja za ugaidi alete ushahidi wa Video au Audio. Mahakamani hayapokelewi mawazo ya mtu bali ni vielelezo vyenye mashiko. Huyu aliongea na Mbowe juu ya watu wa kumuongezea ulinzi kipindi cha kampeni, hiyo habari ya kwamba wakafanye uhalifu, imetengenezwa baadaye na kina Kingai, ndiyo maana hana hata Audio aliyo record.
 
sina chuki binafsi bali nina hasira sana na mtu yeyote anaye chezea amani ya nchi hii.
huyu mboe dhamira yake ilikuwa ni kuichezea amani ya nchi huku akiwa amejificha kwenye kivuli cha uenyekiti wa chama!!
hata hivyo ashukuru sana Mungu Tanznia kuna utawala wa sheria, ingekuwa nchi zingine zisizo fuata utawala wa sheria.....hiiiiiiiiieeeee!!
Leo birthday ya Samia nenda kacheze Nate makirikiri umkumbushe kwamba laana ya kumbambikia kesi Mbowe kumtesa kumsweka ndani miezi sita itamfuata mgongongoni hadi kazi chake cha tatu roho yake ya kutu haitamsaidia kitu
 
Discredited ushahidi or inadmissible ushahidi as a whole
Kwa mawakili wenye akili, wanaweza kumwomba Jaji asichukue ushahidi wowote wa shahidi kwa sababu hawezi kuisaidia mahakama kutenda haki. Na nadhani ndio kinachoenda kutokea hapa, Jaji atataka shahidi ajibu na majibu mengi yakiwa "sijui", "siwezi kujibu hilo", "sifahamu" shahidi anakuwa ameonesha incompetency. Inadmissible ushahidi is on the cards!! Na ukiangalia kuwa shahidi huyu ni muhimu, inaacha sehemu kubwa ya mashtaka uchi! Shahidi anajua anaelekea kuulizwa "kwanini uliwachagua washitakiwa hawa na wala sio wengine inactive au serving. Je ulijua ndio wanaweza kulipua? Imani yako kuwa wanaweza kulipua inatokana na mafunzo uliyowapatia wewe"??
 
Hakuna mahala popote toka kwa shahid yeyote message za telegram zikiandikwa au kuzungumzwa sasa ndio mwanzo urio kamezeshwa ushahidi anatema kama chura
Uwe unafuatilia Twitter kwa Martin (MMM). Hizo text zilishazungumzwa na shahidi kabla ya huyu, ni yule polisi mtaalamu wa forensic science.
 
Jaji: Lakini Kama utaulizwa kuhusu mitaala ya mafunzo yako au vitu ambavyo wewe siyo mhusika unaweza kusita kujibu.. Kwa maana hiyo natoa AMRI, utajibu swali uliloulizwa.
Haya URIO twende kazi.......Jibu la SIWEZI KUSEMA - hilo halipo ndugu, Mahakama ni USHAHIDI na USHAHIDI lazima uhojiwe kama ulikuwa hujui haya kazi kwako.

Cheza kwata hilo !!
 
Sheria ya ushahidi ina masharti yake na imetoa mwongozo ni swali gani linafaa kuulizwa na kujibiwa, ni wajibu wa mahakama kusimamia kuwa yale maswali yanayokubaliwa na sheria ndio yanaulizwa, sasa huyu wakili anajiulizia tuu maswali ya hovyo kama lileswali waliokuwa wa namuuliza shahihidi habari za baba yake aliyekuwa IGP
Mkuu, umefuatilia kesi hii toka jana? Wakili wa serikali alimuuliza, kwa cheo chake Urio, anaongoza askari wangapi, alijibu 30. Pia, koplo anaongoza 9.Haya maswali ya wakili wa utetezi, yana tofauti gani na hayo aliyoulizwa jana?
 
Back
Top Bottom