jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤦🏾♂️🤦🏾♂️🤦🏾♂️
Malya: Je ni Vibaya Mtu Kutafuta Ulinzi Kwa ajili yake
Shahidi: Sijui Kama Ni Kosa au Siyo Kosa
Malya: Lakini wewe Uliwatafuta Vijana Ukawaambia Waende kwa Mbowe Kufanya nini
Shahidi: Kuambatana kazi ya Ulinzi
Malya: Kwa hiyo Mtu Kuwa na Walinzi ni Kosa siyo Kosa
Shahidi: Sijui Kama Siyo Kosa
Malya: Kwa hiyo wewe wakati unawatafuta hawa akina Khalfani Bwire unawapa pesa au unawapeleka kwa Mbowe kuwa walinzi, hujui kuwa kosa siyo kosa?
Shahidi: SIYO KOSA
Mahakama: Kicheko
Malya: Sasa Kutafuta hawa Vijana Wanne Kwa ajili ya Ulinzi Kuna Kosa gani
Shahidi: Shida siyo Vijana... Inategemea Wanaenda Kufanya Kazi gani
Malya: Kwani Wewe Uliwatafuta Vijana Wanne Kwa ajili ya Nini
Shahidi: Hakuna Sehemu ambayo amesema Walinzi
Malya: Soma hapa Shahidi anasoma Kielelezo
Shahidi: Kaka Wale Watu watatu au wanne Ni Muhimu sana
Malya: hao Vijana sio Ndiyo hawa
Shahidi: Ndiyo
Malya: Wakati Unawatafuta Ulisema Kwamba Unawatafuta kwa kazi gani
Shahidi: Ya Ulinzi
Mahakama: Kicheko
Malya: Je ni Vibaya Mtu Kutafuta Ulinzi Kwa ajili yake
Shahidi: Sijui Kama Ni Kosa au Siyo Kosa
Malya: Lakini wewe Uliwatafuta Vijana Ukawaambia Waende kwa Mbowe Kufanya nini
Shahidi: Kuambatana kazi ya Ulinzi
Malya: Kwa hiyo Mtu Kuwa na Walinzi ni Kosa siyo Kosa
Shahidi: Sijui Kama Siyo Kosa
Malya: Kwa hiyo wewe wakati unawatafuta hawa akina Khalfani Bwire unawapa pesa au unawapeleka kwa Mbowe kuwa walinzi, hujui kuwa kosa siyo kosa?
Shahidi: SIYO KOSA
Mahakama: Kicheko
Malya: Sasa Kutafuta hawa Vijana Wanne Kwa ajili ya Ulinzi Kuna Kosa gani
Shahidi: Shida siyo Vijana... Inategemea Wanaenda Kufanya Kazi gani
Malya: Kwani Wewe Uliwatafuta Vijana Wanne Kwa ajili ya Nini
Shahidi: Hakuna Sehemu ambayo amesema Walinzi
Malya: Soma hapa Shahidi anasoma Kielelezo
Shahidi: Kaka Wale Watu watatu au wanne Ni Muhimu sana
Malya: hao Vijana sio Ndiyo hawa
Shahidi: Ndiyo
Malya: Wakati Unawatafuta Ulisema Kwamba Unawatafuta kwa kazi gani
Shahidi: Ya Ulinzi
Mahakama: Kicheko