Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,984
- 5,820
Wewe mwenezi wa CDM unamkataa mwanachama wako.Uwache kuwafuata fuata wana cdm na upunzani kwa ujumla wewe ni ccm .
Kuna magaidi hawalipwi pesa, bali huahidiwa kuwa wakifa watapewa mabikira saba!Kwamba uwaite waliokuwa makomandoo toka mikoa ya mbali na kisha uwalipe elfu themanini ajili ya ugaidi?
View attachment 2080078
Kashfa za nini tunapaswa kueleweshana. Weka na vifungu vya sheria basi.Ugaidi hata Tshs.5,000/= inafanya! Toa akili yako ndogo hapa! Kwani lita moja ya petroleum ni shilingi ngapi na kiberiti kimoja ni shilingi ngapi?
Hoja isiwe kiasi cha pesa,hoja iwe Mbowe alitenda vitendo ambavyo vina amount kwenye ugaidi au la, basi!
Hatutaki kelele za kijinga hapa muache due process ichukue mkondo wake.
Kama hakutenda basi Mahakama itam-acquit.
Kuna magaidi hawalipwi pesa, bali huahidiwa kuwa wakifa watapewa mabikira saba!
Wewe unatafuta kick kupitia mimi acha ujingaUwache kuwafuata fuata wana cdm na upunzani kwa ujumla wewe ni ccm .
Siyo kila mwana jf hapa mnamuona kama muokota makopo lazima mjue kuwa hapa jukwaani baadhi tunajuana .Wewe mwenezi wa CDM unamkataa mwanachama wako.
Ndio maana CCM inawapiga bao maana hata chizi na taira hawamkatai wanampa kadi na kofia ya CCM mwisho wa siku mnalialia mtandaoni mmeibiwa kura.
Wewe ni ccm habari za cdm wachana nazo kabisaKashfa za nini tunapaswa kueleweshana. Weka na vifungu vya sheria basi.
Nitafute kick kupitia kwako wewe una nini hapa duniani zaidi ya uhai tu?Wewe unatafuta kick kupitia mimi acha ujinga
Ccm baba yako shenziWewe ni ccm habari za cdm wachana nazo kabisa
Sasa mbona unalazimisha nikuoe?Nitafute kick kupitia kwako wewe una nini hapa duniani zaidi ya uhai tu?
Labda baba aliyekufaCcm baba yako shenzi
Ndio maana watalii wengi wanakuja kututembelea ,sijui wanatufananisha na wale wa mbuganihii nchi ni kituko cha Dunia sasa..
Wewe nashukuru kuwa sasa umeishiwa pumzi kisiasa .Sasa mbona unalazimisha nikuoe?
We unaliwaLabda baba aliyekufa
Haikusaidii kitu bali watanzania tunashukuru kuwa tumekubaini na nia yako hovu kwa upinzani.We unaliwa
Mungu ibariki Chadema
Kwani ukiolewa na mimi utapata faida gani?Haikusaidii kitu bali watanzania tunashukuru kuwa tumekubaini na nia yako hovu kwa upinzani.
Nikuahidi tu kuwa labda ubadilishe ID yako ndiyo utafanikiwa kufanya siasa za maji taka dhidi ya cdm.
Vinginevyo hatutakuwacha kufanya huu unafiki wako kisiasa kwa malipo kiduchu .
Ushakata pumziKwani ukiolewa na mimi utapata faida gani?
Ukome kuichezea CHADEMAKwani ukiolewa na mimi utapata faida gani?