Kaka Koramu leo jamaa wamezingua.Niko Kilimanjaro wilaya ya Moshi vijijini jimbo la Vunjo tarafa ya mamba kata ya mamba kaskazini kijiji cha kokirie kitongoji cha Kokirie Koram iko tayar kusikilizia hyo kesi.ni presha inawasumbua upande wa mashtaka
Daktari wa wapi? TMJ isije ikaingia kwenye msala usioihusuDaktari: vipimo vinaonesha hunatatizo
TMJ
Afande swila: sawa ila nahisi kichwa hakipo sawa
Daktari: sababu ya msongo wa mawazo, hakikisha unapata muda wa kupumzika
Afande swila: asante, naruhusiwa kumeza madesa, na kupata lecture kwa siku nzima
Daktari: hapana, hali yako itakuwa mbaya zaidi.
Afande swila: sa itakuwaje🤔, basi niandikie tu ninatatizo la maliwato aka fistula (niendelee kupata lecture kidogo kidogo via maliwatoni 🤨..)
Daktari: utakuja kufa 🐕 wewe
Umesahau wazee wa kuunganisha dot!Kumbe "wanatafuta mashahidi".
Jaji mwenyewe nae ni mmoja wa mawakili wa serikaliHivi wakina Kibatala wangemaliza leo, upande wa mashtaka wasingeweza kuleta shahidi mwingine kesho? Ningekuwa Jaji ningewalazimisha wanipe schedule ya mashahidi na uthibitisho kuwa wamewasiliana nao na wako standby kuja wakati wowote watakapohitajika. Unashindwaje kupata polisi ambae anawajibika kutii amri ya mamlaka? Kuna haja ya kuwa serious na maisha ya wenzao. Au lengo ni kuwaweka watuhumiwa mahabusu kwa muda mrefu inavyowezekana? Jaji lazima awe mkali kwenye hili.
Amandla...
Mwamakula piga maombi baba wapigwe na uharo hadi waishiwe maji mwilini na watubu wamrudie muumba kwa toba na kutufahamisha kila kitu. Ona sasa hata watuhumiwa wa mauaji ya ajabu ajabu wanaanza kujulikana. Ninaamini kipindi cha ukweli na mapatano kimefika. Ee Mola endelea na kazi uliyoianza March 2021Habari Wakuu,
Leo 10/ 02/ 2022 shahidi wa 13 anatarajiwa kuendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3. Shahidi Tumaini Swila jana Februari 9, 2022 aliomba ahirisho kwakuwa alikuwa hajisikii vizuri.
Kujua Kesi ilipoishia fungua kiungo hiki: Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Shahidi wa 13, Tumaini Swila aomba ahirisho kuwa
Mimi nilishangaa kwa nini hakuwakaripia walipoleta shahidi kutoka Temeke wakati waliomba ahirisho la siku kadhaa kwa sababu shahidi wao anatoka mbali!Jaji mwenyewe nae ni mmoja wa mawakili wa serikali
Kwa hakika hayo ni mambo yatakayowekwa kwenye submissions. Sitarajii 14/07 kujibiwa japo imetajwa. Mkuu, hawa watu hawajali ukweli kwa sababu sheria zetu zikataza uongo kupitia kiapo lakini kuanzia juu kabisa mpaka chini hatufanyi sawa na viapo! They will get away with all lies!!Na ile tar 14 July wataipatia majibu?? Vipi kukosa Form ya kujaza Mali za Urio tar 13 august 2020?
Jaji naye kachoka anataka mapumziko. Hii kesi ni nzito pande zote.Mimi nilishangaa kwa nini hakuwakaripia walipoleta shahidi kutoka Temeke wakati waliomba ahirisho la siku kadhaa kwa sababu shahidi wao anatoka mbali!
Amandla...
Course za kipolisi hizi hapo. We unafikiri kutakuwa na mwenye akili akafanya moral reasoning?
Hata ukikaa nao kwenye vijiwe vyaoo utagundua kuwa wengi wao kichwani hakuna kitu. Empty set View attachment 2114767
Hata jaji naye akiona hivyo anashukuru. Kashajichokea.Ilishajulikana. Wanataka muda zaidi wa kumpa tuition ya kusema uwongo. Uzuri ni kuwa uwongo huwa hausimami
Ana ugonjwa wa ajabu sana,yaani akipush lile gogo tu anapona !!!!Suala la tukishindwa Kuleta Shahidi huyu, tulete shahidi Mwingine nalo tumelichukua Suala la Shahidi Kuleta Cheti cha Hospitali ya Serikali, Shahidi Tulikuwa tunaona hapa tangu Mwanzo Kila Muda alikuwa anaomba Kwenda Msalani Huko Ndipo alipo kuwa anatibiwa kupitia Daktari Wake[emoji3064][emoji15][emoji15][emoji848][emoji2827]
Hivi mahakama hazina vyumba vya dharura na vya huduma ya kwanza mpaka mtu akatibiwe chooni na 'daktari' wake? Ni matibabu gani hayo ya kila baada ya muda mchache?
Yaani shahidi alipoona spana imebana kaenda kuchukua ED. Huu mwaka mpaka maji wayaite mma.Nafurahi sana jopo la mawakili wakiongozwa na Kibatala wapo "smart and bold".
Mtobesya amerejea.
Tuwe na subra, wapenda haki.
"upepo unazidi kuvuma kwa kasi sio muda uchi wa kuku utaonekana"
Nashangaa kamanda wacheo cha juu kama chake anakua unfit. Kizembe tu.Dah jamaa alikuwa na nguvu kweli ama afya ilikuwa mgogoro sana..yaani anatoka kizimbani anaenda chooni anatibiwa na daktari wake kisha anarejea tena kizimbani mara kadhaa kwa kujirudiarudia
anaharisha uongo 🤣🤣🤣🤣🤣Imeahirishwa kwa sababu shahidi anaharisha
Akiwa kizimbani Huwa anaishiwa nguvu,Dah jamaa alikuwa na nguvu kweli ama afya ilikuwa mgogoro sana..yaani anatoka kizimbani anaenda chooni anatibiwa na daktari wake kisha anarejea tena kizimbani mara kadhaa kwa kujirudiarudia
Mastermind wa ubaradhuri wote huu unaoendelea hapa nchini.Naitwa Juma P Maharage,nafuatilia kesi hii kutokea kaburini Chato.