Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake 3. Shahidi wa 13, Tumaini Swila kuendelea kutoa ushahidi Februari 15, 2022

Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake 3. Shahidi wa 13, Tumaini Swila kuendelea kutoa ushahidi Februari 15, 2022

Naam,cross examination ni elimu ya Bure Kwa tusiokuwa wanasheria!
Kama Umefuatilia kesi Toka Mwanzo,na mpaka Sasa hujaongeza ufahamu kuhusu mambo ya kisheria basi utakuwa kilaza!
Sio kilaza tu utakuwa na akili za ccm kuna kada mmoja wa ccm aliniambia Ili uwe kada ulieiva wa ccm ni lazima uwe kilaza!!
 
Habari Wakuu,

Leo 14/ 02/ 2022 shahidi wa 13 anatarajiwa kuendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3. Mawakili wa Serikali waliomba ahirisho la kesi hadi leo Februari 14, 2022 kutokana na Shahidi Tumaini Swila kushindwa kufika Mahakamani siku ya Februari 10, 2022 kutokana na ugonjwa. Awali Februari 9,2022 aliomba ahirisho kwakuwa alikuwa hajisikii vizuri.

Kujua Kesi ilipoishia fungua kiungo hiki: Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake 3: Shahidi wa 13, Tumaini Swila ashindwa kufika mahakamani. Kesi imeahirishwa hadi Februari 14, 2022

Baki nami.

Updates:
Mungu awabariki mnaotumia muda na mali zenu kutuhabarisha.

Weekend ilikuwa ndefu sana.
 
16448222408212.jpg
 
Naam,cross examination ni elimu ya Bure Kwa tusiokuwa wanasheria!
Kama Umefuatilia kesi Toka Mwanzo,na mpaka Sasa hujaongeza ufahamu kuhusu mambo ya kisheria basi utakuwa kilaza!
Tumepata elimu kubwa na kutuongezea ujasiri zaidi.
 
Jana ndio nini bwashee?

Kuna maisha nje ya siasa tatizo la Ufipa mnadhani siasa ndio maisha.
Wengi mlisema mtaacha siasa baada ya kunyongwa na Magu. Lakini mkashindwa. Unajua kuwa siasa ndio maisha u ajifaragua tu
 
Siasa sio maisha wakati Mzee Mwinyi na familia yake wamejikita kwenye kazi ya siasa na imewatoa.
Unatakwimu ya wanasisiemu wagogo wa Dodoma walivyofanikiwa na siasa za ccm ukiacha huyo mwinyi na familia yake?!!
 
Sawa sie tuna washukuru kwa kazi njema mnaofanya kutuhabarisha yanaojiri hapo mahakamani, tuko tayari kuendelea kuona comedy ya mawakili wa serikali, sijui leo wanakuja na lipi jamba la ku-bayi mda lina mwisho wake pia, wajua katika sheria "right delayed is right denied" sijui walisomea wapi sharia
Kule kwetu kuna msemo wa kilugha unasema... jambo lisilobidi ulifanye bora ulimalize tu usingoje kesho.... wali Buy time lakini sifa ya time huwa una mwisho.
 
Back
Top Bottom