balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Bwashehe siku hizi umebadilika sanaMungu wa mbinguni awabariki sana!
Huyu Freeman Mbowe aliwahi kufungwa lakini akatoka baada ya kulipa faini baadae Mahakama ya Rufaa ikaona alifungwa bila kuwa na hatia ( alionewa)
Maisha ya hii dunia ni ubatili mtupu!