Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,818
- 5,555
kumbe uko vizuri sana ila unajifanyaga hamnazo.Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Huyu Freeman Mbowe aliwahi kufungwa lakini akatoka baada ya kulipa faini baadae Mahakama ya Rufaa ikaona alifungwa bila kuwa na hatia ( alionewa)
Maisha ya hii dunia ni ubatili mtupu!
Vv