Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake 3. Shahidi wa 13, Tumaini Swila kuendelea kutoa ushahidi Februari 15, 2022

Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake 3. Shahidi wa 13, Tumaini Swila kuendelea kutoa ushahidi Februari 15, 2022

Habari Wakuu,

Leo 14/ 02/ 2022 shahidi wa 13 anatarajiwa kuendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3. Mawakili wa Serikali waliomba ahirisho la kesi hadi leo Februari 14, 2022 kutokana na Shahidi Tumaini Swila kushindwa kufika Mahakamani siku ya Februari 10, 2022 kutokana na ugonjwa. Awali Februari 9,2022 aliomba ahirisho kwakuwa alikuwa hajisikii vizuri.

Kujua Kesi ilipoishia fungua kiungo hiki: Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake 3: Shahidi wa 13, Tumaini Swila ashindwa kufika mahakamani. Kesi imeahirishwa hadi Februari 14, 2022

Baki nami.

Updates:

Jaji ameingia Mahakamani Muda huu Saa 4 Kamili Asubuhi

Kesi Namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani Muda huu.

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Ikupendeze naitwa Robert Kidando nipo pamoja na wakili

  • Pius Hilla
  • Abdallah Chavula
  • Jenitreza Kitali
  • Nassoro Katuga
  • Esther Martin
  • Ignasi Mwinuka Mawakili Wa Serikali Waandamizi na
  • Wakili Tulimanywa Majige
Wakili Peter Kibatala Mheshimiwa Jaji Ikupendeza naitwa Peter Kibatala nipo Pamoja na wakili

  • John Malya
  • Faraji Mangula
  • Nashon Nkungu
  • Fredrick Kihwelo
  • Livino Haule
  • Edward Heche
  • Sisty Aloyce
  • Seleman Matauka
Shahidi emetoka nduki tena na leo? Kibatala, wakili mkali Afika nzima, usimwache mchawi aishi, mpige maswali mpaka leo tuuone mkojo kizimbani
 
Jana ndio nini bwashee?

Kuna maisha nje ya siasa tatizo la Ufipa mnadhani siasa ndio maisha.
Kwa Jana ilikuwa siasa Leo umerudishiwa utu wako? Wanaokuita kinyonga kumbe hawakuonei? Binafsi nilikuwa nakuheshimu sana ila kauli ya kushabikia mateso ya mwenzio ilinikwaza sana.
 
Shahidi: Nahudumiwa na Madaktari tofauti

Kibatala: Unahudumiwa kwa Muda gani

Shahidi: Zaidi ya Miaka Miwili

Kibatala: Wanaitwa nani

Shahidi: Namkumbuka Mmoja anaitwa Mohammed

Kibatala: Mohammed nani

Shahidi: Simkumbuki

Kibatala: na Amekuhudumia kwa Muda gani huyo usiyemkumbuka

Shahidi: Miaka 2
Kibatala ni zaidi ya FBI. Taarifa zote anazo.

Namuona anatengeneza Foundation🤣🤣
 
Habari Wakuu,

Leo 14/ 02/ 2022 shahidi wa 13 anatarajiwa kuendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3. Mawakili wa Serikali waliomba ahirisho la kesi hadi leo Februari 14, 2022 kutokana na Shahidi Tumaini Swila kushindwa kufika Mahakamani siku ya Februari 10, 2022 kutokana na ugonjwa. Awali Februari 9,2022 aliomba ahirisho kwakuwa alikuwa hajisikii vizuri.

Kujua Kesi ilipoishia fungua kiungo hiki: Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake 3: Shahidi wa 13, Tumaini Swila ashindwa kufika mahakamani. Kesi imeahirishwa hadi Februari 14, 2022

Baki nami.

Updates:

Jaji ameingia Mahakamani Muda huu Saa 4 Kamili Asubuhi

Kesi Namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani Muda huu.

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Ikupendeze naitwa Robert Kidando nipo pamoja na wakili

  • Pius Hilla
  • Abdallah Chavula
  • Jenitreza Kitali
  • Nassoro Katuga
  • Esther Martin
  • Ignasi Mwinuka Mawakili Wa Serikali Waandamizi na
  • Wakili Tulimanywa Majige
Wakili Peter Kibatala Mheshimiwa Jaji Ikupendeza naitwa Peter Kibatala nipo Pamoja na wakili

  • John Malya
  • Faraji Mangula
  • Nashon Nkungu
  • Fredrick Kihwelo
  • Livino Haule
  • Edward Heche
  • Sisty Aloyce
  • Seleman Matauka
Jaji anaita Washtakiwa Wote wanne na wote wanaitika wapo Mahakamani

WS Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya Kusikilizwa na Leo shahidi namba 13 ameweza Kufika Kwa ajili ya Kuendelea Kutoa Ushahidi Wake ambapo Upande Wa Utetezi Walikuwa wanahoji Maswali ya Dodoso. Tupo tayari Kuendelea

Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji na sisi pia tupo tayari Kuendelea

Inspector Tumaini Sosthenes Swila anapanda Kizimbani na Kaunda Suti ya Kijivu kisha anasimama..

Jaji: Shahidi nakukumbusha kuwa kabla Shauri halijahairishwa ulikuwa Chini ya Kiapo na leo Utaendelea Kuwa Chini ya Kiapo

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Mheshimiwa Jaji Nakumbuka Nilipo Ishia naomba Nipewe Kielelezo Namba P4, P5 (Risasi na Maganda Yaliyo tumika)

Kibatala: Shahidi Unakumbuka Mara ya Mwisho Zoezi lilisimama Kwa sababu Ulisema unataka Kupata huduma za Afya

Shahidi: Sahihi

Kibatala: Na kweli ulitoa Kauli hiyo Ukiwa kwenye Kiapo

Shahidi: Ni kweli

Kibatala: Una Daktari Wako au Una Daktari Wako Mahususi

Shahidi: Kimya

Shahidi: Nahudumiwa na Madaktari tofauti

Kibatala: Unahudumiwa kwa Muda gani

Shahidi: Zaidi ya Miaka Miwili

Kibatala: Wanaitwa nani

Shahidi: Namkumbuka Mmoja anaitwa Mohammed

Kibatala: Mohammed nani

Shahidi: Simkumbuki

Kibatala: na Amekuhudumia kwa Muda gani huyo usiyemkumbuka

Shahidi: Miaka 2

Kibatala: Je unafahamu Niliandika Barua katika Hospitali ambayo Ulisema Kwamba wanakuhudumia

Shahidi: Sijapewa

Kibatala: Kwa hiyo ujui Kwamba Hospitali imesema ipo tayari Kusema wapo tayari Kuja Kutoa Ushahidi

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Ni hali ya Kawaida kutomfahamu Mtu anayekuhudumia Miaka 2

Shahidi: kawaida

Kibatala: ulilazwa au ulipumzika nyumbani

Shahidi: Nilikuwa nimepumzika Nyumbani

Kibatala: Nyumbani kulikuwa na Daktari anayekuhudumia

Shahidi: Hapana

Kibatala: Tukoke hapo Nitarudi baadae
Huyu Kibatala huyu! Tayari hapo issue ya Daktari anayemtibu jamaa ni utata mtupu!
 
Habari Wakuu,

Leo 14/ 02/ 2022 shahidi wa 13 anatarajiwa kuendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3. Mawakili wa Serikali waliomba ahirisho la kesi hadi leo Februari 14, 2022 kutokana na Shahidi Tumaini Swila kushindwa kufika Mahakamani siku ya Februari 10, 2022 kutokana na ugonjwa. Awali Februari 9,2022 aliomba ahirisho kwakuwa alikuwa hajisikii vizuri.

Kujua Kesi ilipoishia fungua kiungo hiki: Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake 3: Shahidi wa 13, Tumaini Swila ashindwa kufika mahakamani. Kesi imeahirishwa hadi Februari 14, 2022

Baki nami.

Updates:

Jaji ameingia Mahakamani Muda huu Saa 4 Kamili Asubuhi

Kesi Namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling'wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani Muda huu.

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Ikupendeze naitwa Robert Kidando nipo pamoja na wakili

  • Pius Hilla
  • Abdallah Chavula
  • Jenitreza Kitali
  • Nassoro Katuga
  • Esther Martin
  • Ignasi Mwinuka Mawakili Wa Serikali Waandamizi na
  • Wakili Tulimanywa Majige
Wakili Peter Kibatala Mheshimiwa Jaji Ikupendeza naitwa Peter Kibatala nipo Pamoja na wakili

  • John Malya
  • Faraji Mangula
  • Nashon Nkungu
  • Fredrick Kihwelo
  • Livino Haule
  • Edward Heche
  • Sisty Aloyce
  • Seleman Matauka
Jaji anaita Washtakiwa Wote wanne na wote wanaitika wapo Mahakamani

WS Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya Kusikilizwa na Leo shahidi namba 13 ameweza Kufika Kwa ajili ya Kuendelea Kutoa Ushahidi Wake ambapo Upande Wa Utetezi Walikuwa wanahoji Maswali ya Dodoso. Tupo tayari Kuendelea

Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji na sisi pia tupo tayari Kuendelea

Inspector Tumaini Sosthenes Swila anapanda Kizimbani na Kaunda Suti ya Kijivu kisha anasimama..

Jaji: Shahidi nakukumbusha kuwa kabla Shauri halijahairishwa ulikuwa Chini ya Kiapo na leo Utaendelea Kuwa Chini ya Kiapo

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Mheshimiwa Jaji Nakumbuka Nilipo Ishia naomba Nipewe Kielelezo Namba P4, P5 (Risasi na Maganda Yaliyo tumika)

Kibatala: Shahidi Unakumbuka Mara ya Mwisho Zoezi lilisimama Kwa sababu Ulisema unataka Kupata huduma za Afya

Shahidi: Sahihi

Kibatala: Na kweli ulitoa Kauli hiyo Ukiwa kwenye Kiapo

Shahidi: Ni kweli

Kibatala: Una Daktari Wako au Una Daktari Wako Mahususi

Shahidi: Kimya

Shahidi: Nahudumiwa na Madaktari tofauti

Kibatala: Unahudumiwa kwa Muda gani

Shahidi: Zaidi ya Miaka Miwili

Kibatala: Wanaitwa nani

Shahidi: Namkumbuka Mmoja anaitwa Mohammed

Kibatala: Mohammed nani

Shahidi: Simkumbuki

Kibatala: na Amekuhudumia kwa Muda gani huyo usiyemkumbuka

Shahidi: Miaka 2

Kibatala: Je unafahamu Niliandika Barua katika Hospitali ambayo Ulisema Kwamba wanakuhudumia

Shahidi: Sijapewa

Kibatala: Kwa hiyo ujui Kwamba Hospitali imesema ipo tayari Kusema wapo tayari Kuja Kutoa Ushahidi

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Ni hali ya Kawaida kutomfahamu Mtu anayekuhudumia Miaka 2

Shahidi: kawaida

Kibatala: ulilazwa au ulipumzika nyumbani

Shahidi: Nilikuwa nimepumzika Nyumbani

Kibatala: Nyumbani kulikuwa na Daktari anayekuhudumia

Shahidi: Hapana

Kibatala: Tukoke hapo Nitarudi baadae
Moto unaendelea kuwateketeza mashahidi wa mchongo.Dr Mohamed naye anachongwa,Swila anaweza kuwa na Dr wake TMJ?
He is a lier in making,i don't know how did he became a POLICE Inspector inthe first place!
 
Back
Top Bottom