balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Bwashehe siku hizi umebadilika sanaMungu wa mbinguni awabariki sana!
Huyu Freeman Mbowe aliwahi kufungwa lakini akatoka baada ya kulipa faini baadae Mahakama ya Rufaa ikaona alifungwa bila kuwa na hatia ( alionewa)
Maisha ya hii dunia ni ubatili mtupu!
Kweli imeniweka huru bwashee!Bwashehe siku hizi umebadilika sana
Hongera sana bwasheheKweli imeniweka huru bwashee!
Kesho kutwa nitakuwa hapo viwanja vya Mashujaa Moshi na Mwalimu Mwakasege!
Amina bwashee!Hongera sana bwashehe
Sio kilaza tu utakuwa na akili za ccm kuna kada mmoja wa ccm aliniambia Ili uwe kada ulieiva wa ccm ni lazima uwe kilaza!!Naam,cross examination ni elimu ya Bure Kwa tusiokuwa wanasheria!
Kama Umefuatilia kesi Toka Mwanzo,na mpaka Sasa hujaongeza ufahamu kuhusu mambo ya kisheria basi utakuwa kilaza!
Jana ndio nini bwashee?
Kuna maisha nje ya siasa tatizo la Ufipa mnadhani siasa ndio maisha.
Mungu awabariki mnaotumia muda na mali zenu kutuhabarisha.Habari Wakuu,
Leo 14/ 02/ 2022 shahidi wa 13 anatarajiwa kuendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3. Mawakili wa Serikali waliomba ahirisho la kesi hadi leo Februari 14, 2022 kutokana na Shahidi Tumaini Swila kushindwa kufika Mahakamani siku ya Februari 10, 2022 kutokana na ugonjwa. Awali Februari 9,2022 aliomba ahirisho kwakuwa alikuwa hajisikii vizuri.
Kujua Kesi ilipoishia fungua kiungo hiki: Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake 3: Shahidi wa 13, Tumaini Swila ashindwa kufika mahakamani. Kesi imeahirishwa hadi Februari 14, 2022
Baki nami.
Updates:
Vinyonga hapo ukutwe katoswa kwenye teuziBwashehe siku hizi umebadilika sana
Nimeshakula supu. Namimi niko tayari kusikilizaMkuu Nyendo asante, tuko tayari wenye mapenzi mema na mabaya wote wanakufuatilia
Bwasheeee kule yupo na huku yupo.Bwashehe siku hizi umebadilika sana
Tumepata elimu kubwa na kutuongezea ujasiri zaidi.Naam,cross examination ni elimu ya Bure Kwa tusiokuwa wanasheria!
Kama Umefuatilia kesi Toka Mwanzo,na mpaka Sasa hujaongeza ufahamu kuhusu mambo ya kisheria basi utakuwa kilaza!
Mwenye haki ataishi kwa imani.Shetani Hashindi hii vita Mungu yupo upande wa Chadema
Wengi mlisema mtaacha siasa baada ya kunyongwa na Magu. Lakini mkashindwa. Unajua kuwa siasa ndio maisha u ajifaragua tuJana ndio nini bwashee?
Kuna maisha nje ya siasa tatizo la Ufipa mnadhani siasa ndio maisha.
Unatakwimu ya wanasisiemu wagogo wa Dodoma walivyofanikiwa na siasa za ccm ukiacha huyo mwinyi na familia yake?!!Siasa sio maisha wakati Mzee Mwinyi na familia yake wamejikita kwenye kazi ya siasa na imewatoa.
Kule kwetu kuna msemo wa kilugha unasema... jambo lisilobidi ulifanye bora ulimalize tu usingoje kesho.... wali Buy time lakini sifa ya time huwa una mwisho.Sawa sie tuna washukuru kwa kazi njema mnaofanya kutuhabarisha yanaojiri hapo mahakamani, tuko tayari kuendelea kuona comedy ya mawakili wa serikali, sijui leo wanakuja na lipi jamba la ku-bayi mda lina mwisho wake pia, wajua katika sheria "right delayed is right denied" sijui walisomea wapi sharia
Na wala sio wafanya biashara wala wajasiliamaliSiasa sio maisha wakati Mzee Mwinyi na familia yake wamejikita kwenye kazi ya siasa na imewatoa.