Alinichekesha SanaππππUSINIULIZE MIMI MAMBO YA URIO
Wewe ni mmojawapoMaendeleo hayana vyama!
Muulize Kingai alichokutana nacho jana, au wewe ndo kingai unaugulia maumivuKuna sababu yeyote ya kuwa na "Stunts" kama hizi mahakamani? Huyu jamaa watu wanamvimbisha kichwa sana na masifa wanayompa, ila sidhani kama kweli ana uwezo huo...
Kesi ndogo ilikuwa the same, kitu kizito kikashushwa! Sheria haiendeshwi na stunts & siasa!Muulize Kingai alichokutana nacho jana, au wewe ndo kingai unaugulia maumivu
Maamuzi ya maelekezo hayashangazi, ila hao mashahidi wa uhongo cha moto wanakipataKesi ndogo ilikuwa the same, kitu kizito kikashushwa! Sheria haiendeshwi na stunts & siasa!
Kingai kadai hawana haja ya kumtafuta.Ningependa kujua alipo Moses Lihenje...
Visingizio havijawahi kusaidia kwenye jambo loloteMaamuzi ya maelekezo hayashangazi, ila hao mashahidi wa uhongo cha moto wanakipata
Niko hapa Ubungo kwenye viwanja vya Mahakama ya " Mbowe "
Kwani walilala kwako?Wazungu leo wamechelewa?
Sasa kama Jaji anamuomba shahidi msamaha kwa niaba ya utetezi kwamba aisamehe mahakama kwa maswali konki ya koromeo yaliyomtoa jasho la ulimi kingai unategemea kuna nini hapo zaidi ya malekezoVisingizio havijawahi kusaidia kwenye jambo lolote
AMEN,AMENKama Mbowe ni 'gaidi' au siyo 'gaidi' anayeujua ukweli ni MUNGU.
Kama polisi wanatenda haki au ni waonevu, anayejua pia ni MUNGU.
Mwisho wa siku kila mmoja atavuna kile anachokipanda, kila mmoja atalipwa sawa sawa na 'matendo yake'.
Hukumu ya kweli na haki inakuja kwa kila mwanadamu aliyewahi kuishi hapa duniani.
Mwenye masikio na asikie.
Sasa ujauzito wa mama yako atalea nani?Huyo gaidi wamfunge haraka
huyo jamaa ni marehemu walishamwua kwa mateso wakati wa kuwabambikizaHuyu nasikia wamemficha sehemu na amepata vitisho vingi na amejazwa mamilioni ili aje atoe ushahidi wa kumkandamiza Mbowe.
Sheria/Mahakama siyo sehemu ya kuoneshana umwamba wa kuuliza maswali ambayo yatafurahisha mashabiki wa kisiasa mitandoni...Sasa kama Jaji anamuomba shahidi msamaha kwa niaba ya utetezi kwamba aisamehe mahakama kwa maswali konki ya koromeo yaliyomtoa jasho la ulimi kingai unategemea kuna nini hapo zaidi ya malekezo
Swali gani la kijinga hivi?Kwani walilala kwako?
Tumia Bolilo bread. Huu umejaa na ni mtamu kweli. Haya ya ujazo was mkate ni bora Mara 100 kuliko kesi za aina hii. ShameKwa nini mikate ya supaloaf haina ujazo wa kutosha, yaani unakuta slesi hazina ujazo kabisaa!!
hii sio haki. wanatupunja.
Ficha ujinga wako usije kudharaulika mbele ya jamiiSheria/Mahakama siyo sehemu ya kuoneshana umwamba wa kuuliza maswali ambayo yatafurahisha mashabiki wa kisiasa mitandoni...