akilinene
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 516
- 436
Mkuu hayo yote Serikali imeshayafanyia uchunguzi na ushahidi umejaa. Inasumbua lakini kwa nini Mbowe aliamua kufanya yote hayo!!!Kiruswa naye aitwe kama shahidi aulizwe kama alipigiwa hizo simu na huyo dada shahidi na kuelezwa hayo maneno....kampuni husika ya simu itoe records za hizo namba hizo tarehe kama kweli kulikuwa na mawasiliano ya dada shahidi - Mbowe na huyo Mbunge Kiruswa...
Lakini pia bado naumiza Kichwa....Mbowe anawezaje kuwa jasiri kutumia simu yake kufanya mawasialiano na watu anaotaka kufanya nao issue mbaya, inawezekana Mbowe aende mwenyewe front na sio kutuma watu? BADO NATAFAKARI....tuendelee mstari kwa mstari then tujadili..