Mwadilifu Mdhulumiwa
JF-Expert Member
- Jul 22, 2021
- 419
- 640
Hii kesi inapaswa kufutwa haraka, imeshakosa mashiko!
Msingi mkuu wa hii kesi iliyokuzwa na kubatizwa jina la ugaidi ni kinaitwa njama za kutaka kumdhuru Jambazi na mnyang'anyi wa kutumia silaha Ole Sabaya!
Kwakuwa mahakama imeshajiridhisha kuwa Ole Sabaya ni Jambazi na mnyang'anyi wa kutumia silaha, na kila siku tunasikia kwenye vyombo vya habari kuwa majambazi wameuawa na polis tena kwa kuhisiwa tu kuwa ni majambazi, Hivyo Sabaya pia yumo kwenye kundi moja na hawa majambazi waliostahili kupigwa risasi, hivyo hata kama ni kweli kulikuwa na njama za kutaka kumdhuru, basi zinapaswa kuitwa njama za kutaka kumdhuru jambazi na sio kiongozi kama umma unavyotaka kuaminishwa!
Mahakama imeshadhibitisha pasipo shaka kuwa huyu hakuwa kionbgozi bali Jambazi na mnyang'anyi wa kutumia silaha hii ndio sababu UDC wake umeshindwa kutumika kumuokoa na hukumu hata baada ya kumtaja mkuu wa nchi kuwa ndiye aliyekuwa akimtuma kufanya ule ujambazi na unyang'anyi bado sheria ilimtia hatiani!
Hivyo hoja ya kusema Mbowe alitaka kumdhuru kiongozi haina uhalali wowote kwakuwa hata sheria imeshamuona Sabaya hakuwa kiongozi ali jambazi na mnyang'anyi tena aliyestahili kabisa kupigwa risasi kama majambazi wengine!
Msingi mkuu wa hii kesi iliyokuzwa na kubatizwa jina la ugaidi ni kinaitwa njama za kutaka kumdhuru Jambazi na mnyang'anyi wa kutumia silaha Ole Sabaya!
Kwakuwa mahakama imeshajiridhisha kuwa Ole Sabaya ni Jambazi na mnyang'anyi wa kutumia silaha, na kila siku tunasikia kwenye vyombo vya habari kuwa majambazi wameuawa na polis tena kwa kuhisiwa tu kuwa ni majambazi, Hivyo Sabaya pia yumo kwenye kundi moja na hawa majambazi waliostahili kupigwa risasi, hivyo hata kama ni kweli kulikuwa na njama za kutaka kumdhuru, basi zinapaswa kuitwa njama za kutaka kumdhuru jambazi na sio kiongozi kama umma unavyotaka kuaminishwa!
Mahakama imeshadhibitisha pasipo shaka kuwa huyu hakuwa kionbgozi bali Jambazi na mnyang'anyi wa kutumia silaha hii ndio sababu UDC wake umeshindwa kutumika kumuokoa na hukumu hata baada ya kumtaja mkuu wa nchi kuwa ndiye aliyekuwa akimtuma kufanya ule ujambazi na unyang'anyi bado sheria ilimtia hatiani!
Hivyo hoja ya kusema Mbowe alitaka kumdhuru kiongozi haina uhalali wowote kwakuwa hata sheria imeshamuona Sabaya hakuwa kiongozi ali jambazi na mnyang'anyi tena aliyestahili kabisa kupigwa risasi kama majambazi wengine!