Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake. Shahidi Justine Eliya Kaaya, amtaja Ole Sabaya. Kesi imeahirishwa hadi Oktoba 28, 2021

Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake. Shahidi Justine Eliya Kaaya, amtaja Ole Sabaya. Kesi imeahirishwa hadi Oktoba 28, 2021

shaidi katika watu aliowataja na yeye ni kikundi kimoja na sabaya sehemu ya group lake .

huyu si shaidi na kwa nini kufahamu group la sabaya na kudai alikuwepo akitumika kwa sabay
 
Kesi ya kubambikiwa ikitokea kuwa “high profile”, inakuwa aibu tupu. Yani hata kama Samia walimlisha matango pori na yeye akayabugia tu.

Huyo Kaaya ambaye anasema alikuwa mpiga picha, na kwamba ni mkulima, kumbe si kweli. Jamaa alikuwa kada wa ccm na msaidizi wa katibu mkuu wa ccm. Nimeshangaa sana eti aende kuishi nyumbani kwa Sabaya kwasababu ni mpiga picha! Kwani Sabaya alikuwa mwigizaji wa porn?

Kaazi kweli kweli.

Huyu ni mmoja wa genge la vijana wa Sabaya waliokuwa wakiendesha uhalifu. Na uhalifu huu ulipata baraka zote za mamlaka za kiserikali kwenye ilek kauli mbiu ya kunyoosha nchi.
 
Unaweza ukasikiliza utetezi wa pande zote mbili na bado ukashindwa kuupata ukweli halisi.

Mbowe siyo "malaika" mtakatifu, anaweza akawa gaidi au asiwe gaidi. Ukweli halisi anaujua MUNGU pekee na Mbowe mwenyewe.

Polisi nao siyo malaika, wanaweza kuwa wapo sahihi au hawapo sahihi. Hapa napo ukweli sahihi anaujua MUNGU.

Ndiyo maana nikasema haki ya kweli inapatikana kwa MUNGU tu basi, kwa wanadamu huwezi kupata haki.

Kuna watu ni wauaji, lakini kwa ufundi wa kujitetea mahakamani waliachiwa huru licha ya kwamba ni kweli waliua.

Pia kuna watu siyo wauaji lakini kwa kushindwa kujitetea mahakamani walihukumiwa kifo licha ya kwamba hawakuwa na hatia yoyote.

Mtu fulani kuhukumiwa au kuachiwa huru haimaanishi kwamba wanadamu wanaweza kutenda haki.
Uko sahihi kabisa
 
Huu ushahidi ni wa kupanga na wameona wachombeze jina la huyo dada Joyce kwa makusudi tu ili kumpa Mbowe kashfa. Hawa polisi Hamza aliwatendea haki kabisa.

Wameichelewesha makusudi hii kesi ili wapate muda wa kuwapa "mafunzo" hao wanaojiita "mashahidi". That's all.
Kumpa kashfa tena? Wakati mwenyekiti amezaa na huyo Dada watoto wawili? Nyinyi akili zenu zikoje na huyo Mwenyekiti wenu?
 
hii kesi msingi wake eti ni kusudio la kutenda kosa, kwamba waletea mashitaka wanamshitaki Mbowe kwa kusudio la kufanya ugaidi.. sasa sijui sheria inasemeje hapo maana so far hakuna ugaidi wowote ulifanyika na mbaya zaidi hakuna vielelezo vya kuifanya mahakama iamni kwamba ugaidi ulipangwa, hakuna hata kimoja.
alitaka kukata miti kwa kutumia bastola na risasi 3. Angelipua vituo vya mafuta kwa heroine.
 
Good for you.
Good for your family
Good for your political part CCM

-Nafikiri akifungwa matatizo yako ya kiafya na kiuchumi yatakuwa yametatuliwa
- Akifungwa ugonjwa wa kansa unao mwanandama mama yako utakuwa umeisha
-Akifungwa biashara zako zitakuwa zimekaa sawa
nime log in Ili tu nikupe" like"
Kuna roho mbaya zenye faida.
Kwa mfano ujambazi ni roho mbaya,lkn faida yake ni wanapataga mali kwa njia za ujambazi.
Lakini rohobaya za kichawi ni hazina faida.
Anakuroga tu lkn hapati chochote.
Hiyo ndio roho mbaya ya huyo mtu ulie mquote hapo juu.
Umemuambia ukweli.
Mbowe akifungwa huenda utajiri wa Mbowe ukaenda kwake.
Aisee!!!
Na hiyo ndio Tabia ya ma ccm yote hata hatari.
 
Natamani huyu shahidi mkulima/mpiga picha aulizwe hayo maeneo anayodai alikuwa akiendesha kulima ni wapi? Aliyapataje? Ni nani anayemtambua huko alikokuwa akilima mfano serikali za mitaa, majirani n.k Je, mazao yake alikuwa akiyauza kwa kupewa risiti za TRA au lah na aliwauzia kina nani mfano hiyo siku aliyokamatwa (hayo malipo yalikuwa halali na yapo kwenye rekodi za kumbukumbu za TRA?)

Amejitambulisha pia kwamba alikuwa ni mpiga picha, je hizo picha hadi leo anazo katika vifaa vya kielektroniki au hana, kama zipo anaweza kuionesha mahakama na kama hazipo ni sahihi mawakili wa utetezi wakisema hakuwa mpiga picha?
 
hivi mtuhumiwa ambaye mnatuhumiwa pamoja akikiri makosa na kusema kweli mlishirikiana wewe mwenzake unachomoka ?

watalaam wa sheria hebu nisaidieni hapa ...
 
Maskini mbowe eti likapiga na simu hahaha kumbe ukilaza wa shule na mitaani vilevile

Ulivyoona Samia na siro wakijiaminisha jua hizo voice note walipewa na wakasikikiza mbowe aliacha alama za kijasusi sasa atatokea wapi , gaidi mbowe anakula mvua tu hapa

USSR
Hujawahi kuwa na akili ndio maana uliokolewa na jaji wa maadili anayelamba vunbi saa hizi ulipothibitishiwa ukilaza wako jiulize bila sita kama ungepata cheti mjinga mkubwa kalee huko vichina vyako
 
Nashauri Mkiti ashauriane na wanasheria wake wafanye "Plea bargain" na Serikali kama inawezekana, hii kesi inaenda kumvua nguo, Afanye vyovyote anavyoweza kuiepuka hii fedheha.....Porojo za akina Kibatala hazitomsaidia
Ha ha samia kaamua kuendesha ujambazi wa kisiasa wacha afurahie uraisi wake maana sasa anakula anasaza na nchi GDP imefika asilimia 10 maana gaidi yupo ndani lets go .
 
Back
Top Bottom