Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Shahidi wa 13, Tumaini Swila aomba ahirisho kuwa hajisikii vizuri; kuendelea na ushahidi 10/02/2022

Dah aiseee Bwn Inspector ananyong'onyeshwa!!!
 
We yaelekea wakala wa Lusifa, yaani kionggozi wa Maibilisi
wakala wa shetani ni yule anayeweza kushabikia nchi kuvurugika kwaajili ya mtu mmoja mbowe ni gadi wala siyo mdai katiba mpya hivi kama unaakili tu hata kidogo kama unayo lakini kweli kesi ushahidi wa muda mrefu yeye kadai katiba hata miezi miwili haijaisha leo unasema kakamatwa kwaajili ya katiba mpya? tumieni akili siyo mnatumia vijambi kufikiri
 
Hivi unaka elimu ka sheria japo kidogo?
 
Naona umepora mamlaka ya katiba ya nchi umechukua wewe.Mahakama ndiyo yenye mamlaka ya kumtia hatini mtuhumiwa,si vinginevyo.
 
Naona umepora mamlaka ya katiba ya nchi umechukua wewe.Mahakama ndiyo yenye mamlaka ya kumtia hatini mtuhumiwa,si vinginevyo.
sawasawa tatizo ni la kwen mnapolalamika sana mbowe siyo gaidi kumbe mnajuwa mwenye mamlaka ya kuthibitisha ni mahakama? tulieni basi dawa iwaingie
 
Mpaka sasa naomba unipe ushahidi wowote kutoka upande wa Jamhuri uliothibitisha ugaidi wa kina Mbowe.

Yaani hadi mashahidi wenyewe wanakana kwamba hawakuona ama kushuhudia kina Mbowe wakipanga njama za ugidi.

Wanasema ni hearsay kutoka kwa viongozi wao kwa maana unaamrishwa tu fungua kesi ya ugaidi dhidi ya fulani bila taarifa sahihi.

Wengine ni wanasheria humu sasa unapoongea vitu vya kitoto unajidhalilisha na utadharauliwa humu.

Yaani hadi sasa ni story tu mara walikutana Morogoro wakaenda Moshi sasa kwenda Moshi ndo kufanya ugaidi kwenyewe?

Yaani serikal imekuwa na uoga bila sababu juu ya katiba mpya.
 
sawasawa tatizo ni la kwen mnapolalamika sana mbowe siyo gaidi kumbe mnajuwa mwenye mamlaka ya kuthibitisha ni mahakama? tulieni basi dawa iwaingie
Tunaihoji Jamuhuri ilete ushahidi wa kuthibitisha madai yake,hatulalamiki.Katika jinai,utetezi unakazi ya kuraise doubt na Jamuhuri iondoe hiyo doubt bila kuacha shaka kwa maana ili jinai ithibitike lazima Jamuhuri iprove bila kuacha shaka ndipo mahakama ihukumu.Kwanini wewe unahukumu ugaidi wakati haujathibitika?
 
yaani hapo ndiyo unapokoseana na hujui unachokiongea kujumuisha katiba mpya nahii kesi kwanza unaonekana hujui kitu kuhusu hii kesi
je unajuwa kuwa makomandoo walikamatwa hata kabla ya mbowe kuanza kudai katiba mpya? hilo tu kaa jifikirie kuwa suala la katiba mpya hapao halihusiki kabisa mbowe kaanza kudai katiba mwaka huu makomandoo walikamatwa kabla hata ya uchaguzi na mbowe akawasusa akijuwa hatakuja kukamatwa nakuunganishwa nao tumiaakili unajidharaulisha humu au ukae kimya wanaume wenye akili waongee
 
Kiongozi acha kumjibu huyo mtu mimi nimempiga block.
hunahojaya kunijibu ndiyo maana huwezi kushindana kwa hoja unalazimisha hoja zako ndiyo ziwe sawa kwaniniusiachie mahakama kwanini unakataa kuwa mbowe ni gaidi?
 
Hauko serious mkuu yaani kwamba madai ya katiba mpya yalianza hivi juzi?

Katiba mpya ilianza kudaiwa muda mrefu sana tangu enzi za jiwe ila hapa katikati ni kama moto ulikolezwa zaidi.
 
sijahukumu ugaidi nasema tena muache kulalamika kuwa mbowe siyo gaidi mwenye uamuzi wa mwisho ni jaji sasa kelele nyingi mara hakuna ushahidi mara mbowe siyo gaidi nyie mmekuwa jaji?
 
Inafurahisha sana kuona tz tuna mawakili hodari na wanaitumia fani zao kwa weledi mkubwa sana. Hii kesi mpaka inafika mwisho itawapa sifa kubwa sana mawakili wa utetezi bila kujali matokeo ya kesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…