Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kesi ya kukomoa mtu ni aibu kubwa sn kwa taifa letu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mawakili wa serikali naona wameona hali si hali wanataka kumteka shahidi
Na hiyo siku haipo mbaliSiku atakuja kufa mtu kizimbani kwa kuapa na kusema uongo.
Wa kupimwa akili wewe..ndiyo mawazo yako yalipo ishia lakini huna hoja kama alivyo kibatala anapoteza muda wa kesi tu mtu siku tatu unahoji nini ? yaani nia yake ni kumpoteza shahidi alikoanzia ili aone shahidi kakosea
Sasa hapa anayepata dawa (anayedungwa sindano) ni nani?sawasawa tatizo ni la kwen mnapolalamika sana mbowe siyo gaidi kumbe mnajuwa mwenye mamlaka ya kuthibitisha ni mahakama? tulieni basi dawa iwaingie
Mkuu umeandika Mbowe ni gadi maana yake nini? Au nyie ni wale wale wakina swila kwenda wash room kila wakati, Tumia bichwa lako kubwa kufikiri badala ya kutumia makalio, huo ushahidi wa muda mrefu ni upi? Una chuki binafsi za kipuuzi, watu wanateseka, familia zao zinateseka, kwa sabau ya tuhuma za kipuuzi, na wee hayo huyaoni.wakala wa shetani ni yule anayeweza kushabikia nchi kuvurugika kwaajili ya mtu mmoja mbowe ni gadi wala siyo mdai katiba mpya hivi kama unaakili tu hata kidogo kama unayo lakini kweli kesi ushahidi wa muda mrefu yeye kadai katiba hata miezi miwili haijaisha leo unasema kakamatwa kwaajili ya katiba mpya? tumieni akili siyo mnatumia vijambi kufikiri