Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Shahidi wa 13, Tumaini Swila aomba ahirisho kuwa hajisikii vizuri; kuendelea na ushahidi 10/02/2022

Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Shahidi wa 13, Tumaini Swila aomba ahirisho kuwa hajisikii vizuri; kuendelea na ushahidi 10/02/2022

sawasawa tatizo ni la kwen mnapolalamika sana mbowe siyo gaidi kumbe mnajuwa mwenye mamlaka ya kuthibitisha ni mahakama? tulieni basi dawa iwaingie
Sasa hapa anayepata dawa (anayedungwa sindano) ni nani?

Au wewe hata haufuatilii mwenendo wa kesi ujionee jinsi polisi wanavyolitia aibu taifa letu?

Mawakili wenyewe wa serikali wameshaona ngoma nzito kwao na ndiyo maana wanatafuta kichaka kwa kupanga ugonjwa kwa shahidi nalo hili haulioni?

Hata kama ni ushabiki utumie japo akili uliyozaliwa nayo au ndo ninyi polisi mnaojihalalishia division 3 za kufikirika huku mkionekana watupu.
 
Kisaikolojia ! Akili (subconscious mind) inapingana na mwili na akili ya nje ! Nafsi inagoma kueleza uongo mwanzo mwisho, nafsi na Imani yake ya ndani zinapingana na zinaona zinateseka kwa Jambo lisilo na maana yoyote ! Hali Kama hii inaweza kumfanya mtu hata kuamua kujiua au kujidhuru au kudhuru wengine hasa Kama atalazimishwa kuendelea !

Kwa kifupi huyu Tumain Swila Hataki kuendelea na ushahidi wa michongo! Ndio hasa sababu ya kwenda chooni mara kwa mara na kuugua ugua

#Mbowesiogaidi
 
Huyu Swila kesho aje amalizie mijeledi yake kutoka kwa Kibatala hata akiwa na dripu,aache unafiki,alidhani yupo kwenye Korido za Polisi kuropoka uongo matokea yake kaharibu na picha limeungua.

Hii ni janja ya Jamhuri kukimbia aibu,na Yule Shahidi mwingine nani sijui nae aliugua Kichwa ghafla kukimbia maswali ya Kibatala
 
Mawakili wa sirikali wamegundua kwamba Kifutu anazidi kupata shida ktk kujibu.maswali.ya upande wa utetezi,maana anakaribia kutamka kabisa kwamba hakugundua.aina yoyote ya ugaidi ila akaambiwa afungue kesi. Kwa hiyo ugonjwa ni kisingizio tu.Hili li dpp linangoja nini kuiondoa hii kesi mahakamani ?
 
wakala wa shetani ni yule anayeweza kushabikia nchi kuvurugika kwaajili ya mtu mmoja mbowe ni gadi wala siyo mdai katiba mpya hivi kama unaakili tu hata kidogo kama unayo lakini kweli kesi ushahidi wa muda mrefu yeye kadai katiba hata miezi miwili haijaisha leo unasema kakamatwa kwaajili ya katiba mpya? tumieni akili siyo mnatumia vijambi kufikiri
Mkuu umeandika Mbowe ni gadi maana yake nini? Au nyie ni wale wale wakina swila kwenda wash room kila wakati, Tumia bichwa lako kubwa kufikiri badala ya kutumia makalio, huo ushahidi wa muda mrefu ni upi? Una chuki binafsi za kipuuzi, watu wanateseka, familia zao zinateseka, kwa sabau ya tuhuma za kipuuzi, na wee hayo huyaoni.
 
Back
Top Bottom