Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Upande wa Utetezi waanza kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka 26 Novemba, 2021

Cross examination ya hawa jamaa itawaweka mawakili wa serikali kwenye wakati mgumu sana, hawa wanatoa yote kichwani bila kukaririshwa, sasa ni jukumu la mawakili wa serikali kuhakikisha wanawaondoa kwenye reli watu ambao wanatoa ukweli walioupitia.
The beauty of TRUTH is, it doesn't require anyone to keep memories. It just flows out.
 
Kesi ina M tatu (3): Mshitakiwa, Mshitaki na Mwamuzi. Mashitaka hayamati sana, unaweza kuweka mashitaka yoyote, utakwama kwenye ushahidi. Hii ni kesi ya ugaidi, kwa hiyo usishangae mapolisi kuwa wengi. Ingekuwa ni kesi ya uchaguzi, wanasiasa wangekuwa wengi zaidi na wangejirudiarudia.

Kesi si ya kutunga, imeweka mashitaka ya ugaidi na kuhujumu uchumi. Ni lazima pawe na ushahidi, tumesikia toka tigo malipo, magaidi makamando, na binduki ilikamatwa. Anadai VIP Protection, protection kwenye mbege?

The fellow is in hot soup, njia pekee waliyonayo watetezi ni vipingamizi visivyo na mdhiko wala mvuto.

Hayo ya uchaguzi ndiyo yanamkaanga zaidi. Alishindwa kwa kura 78% na katoto kadogo kabisa, jimbo aliloongoza tangu vyama vingi kuanza. Kwa nini wamshitaki mshindwa, si wangemshitaki alipoiba kura 2000 na 2005?
 
Kweli ww n nguchiro
 
Ucwe mpumbavu ww!!kwan kujilinda ni makosa???
Utasikia matusi tu na majigambo oh mwamba ni mtu maarufu; oh mbona diamond anao; oh ana hela nyingi hata baba yake alichangia harakati za uhuru wa Tanganyika blah blah
 
mawakili wa Serikali wameona Mashahidi wao wanaendelea kuvuruga kila siku leo wameamua kukatisha ushahidi na Kusema wamekuwa kutokuendelea kutoa Ushahidi. Wakati jana walimuahidi Jaji kuja na Shahidi mwingine [emoji28][emoji28][emoji28] Mambo ni Magumu.
 
Tafakar kabla ya kutenda hakika ww n manii tu hata kama utajitutumua vp
shahidi kafundishwa kuja kusema maneno ya kutia huzuni mahakamani akifikiria yatamuokoa yaani hata aseme alilishwa mavi jela iko palepale hao ni magaidi
 
Well said mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…