The beauty of TRUTH is, it doesn't require anyone to keep memories. It just flows out.Cross examination ya hawa jamaa itawaweka mawakili wa serikali kwenye wakati mgumu sana, hawa wanatoa yote kichwani bila kukaririshwa, sasa ni jukumu la mawakili wa serikali kuhakikisha wanawaondoa kwenye reli watu ambao wanatoa ukweli walioupitia.
Kesi ina M tatu (3): Mshitakiwa, Mshitaki na Mwamuzi. Mashitaka hayamati sana, unaweza kuweka mashitaka yoyote, utakwama kwenye ushahidi. Hii ni kesi ya ugaidi, kwa hiyo usishangae mapolisi kuwa wengi. Ingekuwa ni kesi ya uchaguzi, wanasiasa wangekuwa wengi zaidi na wangejirudiarudia.Kwa jinsi kesi inavyoendelea na mashahidi wote ni polisi na ushahidi ni WA kujirudiarudia, kwa Nini wanajamii tusiaminishwe kwamba yafuatayo:
a) Kesi hii ni ya kutunga;
b) Kesi hii ni ya kisiasa; kwamba mwaka 2020 ulikuwa ni mwaka wa uchaguzi mkuu hapa I'm jTanzania na Mwamba Freeman Aikel Mbowe alikuwa ni kutoka Kambi ya upinzani na dunia nzima ilishuhudia jinsi uchaguzi mkuu ulivyovurugwa na kwa mara ya kwanza tangu Tanzania iingie kwenye mfumo wa vyama vingi, chama tawala 'kilishinda'kwa kishindo;
c) Kwa vile mashahidi wa mashtaka wote ni polisi, kwa nini kesi hii isiaminike kwamba ilitengenezwa kwa lengo la kuwapandisha vyeo baadhi ya polisi waliohusika katika mchezo huu wa kuingiza?; Wengi wao qanepandiswa vyeo baada ya kuhusika katika kesi hii kama mashahidi wa mashtaka;
d). Na kwa nini jamii isiaminishwe kwamba Kwa vile Tanzania haijapata kushuhudia namna Kesi ya ugaidi ikiendeshwa, na hivyo hii kesi imefanywa iwe platform( uwanja wa kujifunza), in case siku taifa likingia kwenye matukio ya namna hii. Lakini imefanyika hivi kwa gharama ya watu mashuhuri, uchelewaji wa baadhi ya harakati (harakati za kudai Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi);
e). Kwa Nini jamii isiamini kwamba kesi hii imetengenezwa ili kuchelewesha harakati za kupata Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi?;
f). Iliwahi kusemwa huko nyuma kwamba kama kuna machafuka au kupotea kwa tunu ya amani nchi hii basi hayo yatatoka kwa chama tawala. Sasa kwa haya yanayotokea katika vyombo vyetu vya utendaji haki (ubambikiaji wa kesi),ni rahisi kutengeneza hofu, wananchi kutoipenda na kutokuwa na imani Serikali yao na amani, utulivu na mshikamano kutoweka.
wamfunge chap huyu gaidi..haya makelele ya ubw## koko yaishie.ushahidi umeenyoka kabisa kesi inatakiwa iwe imeisha muda mrefu sana...hawa mawakili kazi yao imekuwa nikuweka mapingamizi tu ili kuisumbua mahakama ila hakimu kwa wanavyokuchosha..mfunge gaidi na viboko juu
Utasikia matusi tu na majigambo oh mwamba ni mtu maarufu; oh mbona diamond anao; oh ana hela nyingi hata baba yake alichangia harakati za uhuru wa Tanganyika blah blah
anahadhi gani- hizo ni typical unique features za magaidi- hasa viongozi wao
Ongeza mengine mwisho wa siku- MBOWE NI GAIDI
[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2023123
Mpaka Jaji anasema ana mashaka Shahidi anapewa madesa, Wakili Matata akamwambia Shahidi amuangalie Jaji kila anapojibu ili kumtoa mashaka Jaji , hahahaha, dah, huyu jaji huyu, kweli wa mchongo
Tanzanite haijawahi kuwa na thamani ndogo kiwango hicho[emoji848].
shahidi kafundishwa kuja kusema maneno ya kutia huzuni mahakamani akifikiria yatamuokoa yaani hata aseme alilishwa mavi jela iko palepale hao ni magaidi
Hamza alijaribu yake mkabweka kama fisi maji
Jamani binafsi napata shida na kauli ya Mzee tiganga kwamba shahidi anapewa majibu.....kwanini awe na mashaka.
Sasa ni wazi hii nchi haitakaa ipate maendeleo. Kila cku vikao - ni vikao vya kuzindua mara michezo mara makongamano, mara usalama barabarani, mara cjui nini - ili mradi rais yuko busy ktk misafara ya uzinduzi, kila siku.
Imekuwa mahali muafaka pa kujipatia mi-posho kwa wajanja (washauri). Wakati haya yakiendelea, viongozi kila mahali wanahama ofisi, wamehudhùria misafara - na sio kwenye wilaya husika tu, hata za jirani na mikoa jirani, hata madaktari hawako salama. Piga hesabu za gharama uone kodi zetu zinapoishia!
Njoo kwenye teuzi! Kila kiongozi kuteuliwa na rais, kuanzia wilayani hadi taifa, wako wabunge wa rais, mahakimu wa rais, Mkuu wa Majeshi, wa Mapolisi, Jaji Mkuu, wa Usalama, Takukuru na viongozi mbalimbali na mateuzi haya huambatana na posho zao. Sasa, ikiwa wote wanateuliwa na rais, nani wa kumkemea nani! Yaani tukubali tu kuwa sasa, umebaki mhimili mmoja wenye nguvu na hauko kikatiba - chama dola.
Hebu fikiria, ili uwe rais, lazima upitishwe na chama chako. Kwa CCM, ukishapitishwa mgombea na ukishinda, unakuwa Mkt wa chama na kwa wadhifa huo una uwezo wa kutumia chama kumtimua yeyote uanachama - iwe Spika au Jaji Mkuu au yeyote yule. Ikishafika hapo, kama ilivo sasa, the president is Supreme. Viongozi wote wanatakiwa kuufyata mbele ya rais.
Kwa mfumo huo, kipi kitafanyika kwa ufanisi, labda kuimba mapambio hasa ule wa "Rais Wetu ni Mteule wa Mungu" na ule wa "Mamlaka zote zimetoka kwa Mungu" ambazo kwa sasa zinaimbwa kotekote hata kwenye vilio, ili tu kumfurahisha mkulu.
Kila baada ya uchaguzi, mchakato wa kushinda uchaguzi unaofuata huanza na fedha toshelezi kwa ajili hiyo husakanywa kila mahali, hata zile zinazoitwa za maendeleo zinakuwa halali yao - sasa kwa staili hiyo, lini tutapata maendeleo?!
Piga ua, tatizo kuu ni katiba. Kwa hii isiosomeka kutokana na viraka, rais atafanya lolote kama apendavyo na tukiendelea hivyo tutaendelea na utamaduni wa kuimba mapambio kama majuha fulani ambao kwao ni Tz na maendeleo tutayasoma kwenye magazeti - hususan "Uhuru" au kuyasikia toka midomo ile ambayo tumekuwa tukiisikia ya wanasiasa wetu kila wakati - na tutegemee tena hayo ktk shereha ijayo, kuyasikia na sio kuyaona...nk
MIAKA 60 YA UHURU NA ITUFUNGUE TUONE MAENDELEO MUAFAKA - UMUHIMU WA KATIBA MPYA, period.
Kamuulize shangazi yakoMkuu swali langu ni rahisi tu- Mbowe yuko mahakamni kwa kosa gani?
Kamuulize shangazi yako
Nimeipenda comment yako.The beauty of TRUTH is, it doesn't require anyone to keep memories. It just flows out.