Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Upande wa Utetezi waanza kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa mpaka 26 Novemba, 2021

wallahi sijui kwa nini samiah anakubali jamhuri inadhalilika kiasi hichi
 
Si chadema walisema mahakama ya mafisadi na majizi haipo?

Inakuweja tena Mungu wao anahudhuria hapo.
Kichwa maji! Bila shaka ulifeli mitihani yako ya shule wewe. Siyo kwa akili hizi yooote yaliyosemwa hapo juu umeona jimbo hii single?
Aibu kubwa sana kwa.waliokizaa,kukukuza na kukuona
KICHWA MAJI
 
Kwahiyo ugaidi woooote ulipangwa kutumia bastora moja na lisasi 3 ni bora uwe masikini wa mali kuliko kuwa maskini wa akili huna akili mafi wewe
 
Wakuu mbona muendelezo wa leo siupati
 
Asantee mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…