Uchaguzi 2020 Yaliyojiri: Mapokezi ya Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu na mkutano mkubwa Shinyanga

YOU MUST BE STUPID! You can not compare Lisu with magu in intellectuality, upstairs capability!
 
Hizi ndizo picha za Shinyanga sasa siyo zile alizoweka Henry. Ndiyo maana utopolo yanatuita sisi nyumbu! Tunajidhalilisha sana, mafuriko yapo lakini bado tunaweka picha za Lowassa hii haitusaidii bali inatudumaza! Kitu chengine nyie Molemo mnarudisha nyuma sana maendeleo, kulikoni hakuna live stream kwenye internet? Mnajua kabisa tumebaniwa kwa nini CHADEMA live isiwe hewani muda wote? Ina maana hatuna pesa za kampeni kiasi hicho? Kitengo cha habari CHADEMA kinatuangusha sana, mbona mlimani pale kuna vijana wazuri tu wa IT kwa nini msiwachukue wasaidie katika hili? Zile pesa walizokuwa wanakatwa wabunge wetu ndio wakati wa kuzitumia sasa! Safari hii tukishindwa kumtoa mkoloni mweusi mtu asinifuate tena!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…