Uchaguzi 2020 Yaliyojiri: Mapokezi ya Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu na mkutano mkubwa Shinyanga

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri: Mapokezi ya Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu na mkutano mkubwa Shinyanga

Wewe ni sawa na sisimizi tu kati ya wapiga kura
Kiki zote zimebmaaaa, mnatia hurumaaa,
Leo shinyanga kawakarisha vijana wakamvisha marubega halafu akasema eti wazeeee wakisukumaaa, waaapiii pale umeona Luna mzeee???
 
Kwani Chief malonja katimuliwa uchifu,😂😂😂 wasukuma hata sielewi wana machifu wangapi😀😀,maana tokea slaa, lowasa,mnyika n.k wote machifu wawasukuma,😂😂 na Mimi nipo mbioni kuja kujichukulia hicho cheo nisije kuwa nakaa kibwege bwege huku nakosa vyeo vya bure huko😂😂.
 
Back
Top Bottom