Uchaguzi 2020 Yaliyojiri: Mapokezi ya Tundu Lissu (CHADEMA) na Mkutano Mkubwa wa hadhara Musoma Mjini

Tumelichukua tayari Kamanda
 
Mbona video hazichezi au figisu hadi jf
 
Kwa anavyo mdhalilishaga Mwalimu Nyerere wana Mara hawana hamu naye
Kuna wanaomdhalilisha mwalimu kuliko maccm ambao hamna hata huruma mlimkokota bibi wa watu ili muongeze vichwa. Sasa hivi hamna pa kushika, lila mti unateleza. Laanakum.....
 
Leo ni Siku ya sabato Musoma wengi ni wasabato hawataenda mkutanoni na watamyima kura kwa kutoheshimu sabato
Ccm ina vijana wa hovyohovyo tu, nawashangaa hata hao wanaokulipa
 
Kama siyo population ndogo ya mji wa Musoma, Musoma leo ingelivunja rekodi zote zilizowekwa na mikoa mingine! Lakini ukichukulia ratiowise, basi kama kungelikuwa na uwezekano wa kuchukua data, MUsoma itavunja rekdi maana wakurya wanajitambua sana
Wakurya tena? Musoma? Unachanganya na Tarime? Ndiyo ubaya wa kuona maeneo kwa macho ya kikabila
 
Kwa anavyo mdhalilishaga Mwalimu Nyerere wana Mara hawana hamu naye
Lissu ninmsema ukweli maccm msema ukweli mnaita matusi. Cheki wana Musoma kwa Mama Maria
Your browser is not able to display this video.
 
Leo ni Siku ya sabato Musoma wengi ni wasabato hawataenda mkutanoni na watamyima kura kwa kutoheshimu sabato
mtaumbuka sana mwaka huu. Kila mti unateleza. Hapo tu ni sik
Your browser is not able to display this video.

u ya sabato je ingekuwa jumatatu??
 
Kuna wanaomdhalilisha mwalimu kuliko maccm ambao hamna hata huruma mlimkokota bibi wa watu ili muongeze vichwa. Sasa hivi hamna pa kushika, lila mti unateleza. Laanakum.....
Heheee Bibi akawalarua pale pale. Usicheze na wazee wanaojielewa.
 
We are blessed to have you Mr Lissu
 
Mataga chip zinawabana kitu kinagonga. Mbeba Maono katumia siku Kama ishirini hivi tuu kuchana chana ushenzi wa miaka 5 na Mataga wamepoteana.
Amesafisha uchafu woote ndani ya only 30 days.
 
Watanzania ni watu wastaarabu sana, wanajitahidi kuhudhuria kila kampeni ya mgombea na sera zake huku wakimpa hamasa ya makofi, inapofika siku ya Uchaguzi wanafanya kilichosahihi, Dr. John Pombe Joseph Magufuli for changes, Napita tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…