Yaliyojiri mechi ya Mgambo JKT Vs Simba at Mkwakwani

Mmekubali wenyewe... ndiyo mpira, acheni kuishupalia Yanga inapokosa point.

Simba haijaishupalia yanga...Imeshinda game tatu consecutively

Ni kawaida ya Mpira...Na ukweli uanabaki kusimama...Yanga ni wateja wa Simba
 
Acha tumuachie mdogo wetu asogee sogee na yeye, huyu kibonde wetu wa kila siku hatusumbui akili kwani hafiki popote
 
mikia mbona mmekimbia jukwaaa, mko wapi wakamiaji msio na future ?
 
Hata Madrid anafungwa sembuse Simba bwana!!
 
Acha tumuachie mdogo wetu asogee sogee na yeye, huyu kibonde wetu wa kila siku hatusumbui akili kwani hafiki popote

una roho ngumu kama sumu ya mamba, wenzio wote wamekimbia mashabiki wa mikia umebaki humu peke unabwabwaja, nina mashaka wewe ni mamluki
 
mikia mbona mmekimbia jukwaaa, mko wapi wakamiaji msio na future ?

Kwa definition yako...future ni nini?

Ishu ya msingi ni point tatu.....na tulichukua point kutoka kwenu....

Sasa whether tulikamia or what...thats your own problem
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…