Yaliyojiri mechi ya Mgambo JKT Vs Simba at Mkwakwani

hakuna kutafakari, bahati haikua yetu na mpira ulikataa
 
goli la kustukiza sana wakati tunashambulia kwa nguvu, second half tunaingia kushambulia inakuja penati na red card
 
goli la kustukiza sana wakati tunashambulia kwa nguvu, second half tunaingia kushambulia inakuja penati na red card
Sasa mbona umekatishia habar katikati! hebu malizia basi mkuu, baada ya red card ikawaje?
 

Huu ndio ukomavu. Nakupongeza sana mkuu kwa kuwa mkweli na kukubali matokeo na maamuzi ya mwamuzi. Washabiki wengine na viongozi tukiwa na ukomavu kama unaouonesha tutafika mbali.
 
Shkamoo mgambo asanteni sana kwa kuwakalisha watani zetu jana much love
 
Kaka uliniambia niamn maneno yko Jana kabla ya mechi imekuaje tena duuu mpira hauko ivyo unavyockria sawa
Halafu mbaya zaidi yeye haingii uwanjani akacheza wala hayupo kwenye benchi la ufundi.
Walipoifunga yanga walisema wameanza ligi,
Wakaifunga mtibwa wakasema hakuna wa kuizuia simba hadi inachukua ubingwa,
Wamekula mweleka jana kwa mgambo wameanza kudebweda debweda na kutuhumiana kuwa kuna mkono wa mtu unaowasababishia kula vichapo na kutoa sare kwenye michezo yao.
 

Kufungwa...kushinda..ku draw ni kawaida kwenye mpira...ila sio kufungwa na Yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…