Yaliyojiri mechi ya Mgambo JKT Vs Simba at Mkwakwani


Mnyama aliye kwenye form ya hatari! MKWAKWANI Ha Ha Ha Ha
 
Mpira si uishe tu..matokea hayo yanatosha jamani...sisi mikia tupo radhi
 
Ahsante sana jeshi la mgambo, Nawapendaje!!!
 
Niliwaambia Mikia furaha yao si ya kudumu, huwa ni ya muda tu.
 
Niliwaambia Mikia furaha yao si ya kudumu, huwa ni ya muda tu.

Tatizo lao mashabiki wa mikia akili zao zipo kwenye sifuri saba moja tatu, ukiwaambia hayo maneno na rahisi kwao kusahau
 
uwanja wa mkwakwani ni mbovu sana...TFF hebu angalieni hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…