Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeanza saa 10 dakika ya 4 sasahii mechi inachezwa saa ngapi?
hakuna cha droo hapa ni bao 5 kavuKuna dalili ya droo
5 kwa nani?hakuna cha droo hapa ni bao 5 kavu
simba 5 wakat yanga wataambulia 0 au 15 kwa nani?
Ikitokea wameshindwa mchezo mwandishi wetu wa jf kwa siku ya leo hatoripoti habari na badala yake atatokomea kusikojulikana.Mbona jina lake linajieleza! ni la mastaa watatu wakali waliowahi kuitumikia hiyo timu. Ishu itokee bahati mbaya wakafungwa, jamaa anaweza akageuka Enock Bwigane yule wa tbc! atashikwa na kigugumizi ajabu.
Hahahaaa wewe yebo leo lazma ukae tuTulia mkia wewe,wenzio wamekaa kimya tu huko maana wanaujua mziki wa wanaume wa Jangwani....