Yaliyojiri Mkutano Mkuu Maalum wa CCM. Kinana apita kwa kura zote 1,875 zilizopigwa

Waswahili walisema wa kwanza atakuwa wa mwisho na wa mwisho atakuwa wa kwanza. Nadhani maana ya cheo ni dhamana kwa watesi wa mkongwe huyo ndo watajua sasa. Leo uko ofisini kesho atakuweko mwingine maana kabla yako walipita wengine.
 
Hii saccoss inaanza kuporomoka mapema! Wewe unadhani watu watafurahia kuvaa nguo za kijani? Yanarudi yaleyale ya kuficha jezi ndani begi!

Makamba kasema kweli, 2025 hakuna uchaguzi, uchaguzi upo 2525!
 
Hongera sana mzee Kinana, ulitaka kuondoka kwenye siasa mapema sana. Inajulikana kuwa kadri mwanadamu anavyokua ndivyo busara na hekima huongezeka. Tunakutumaini sana katika zama hizi mzee wetu.
 
Hii saccoss inaanza kuporomoka mapema! Wewe unadhani watu watafurahia kuvaa nguo za kijani? Yanarudi yaleyale ya kuficha jezi ndani begi!
Makamba kasema kweli, 2025 hakuna uchaguzi, uchaguzi upo 2525!
Miaka 500 ijayo?
 
Mbonà na mama yako Ni Chadema? Basi naye Ni mnuka kwapa
 
Mshenzi mkubwa wewe, marehemu Kama aliua ndugu zangu? Wewe mshenzi
 
I am sorry, Makamba huwa namuona Kama jinga jinga vile!
 
Maadam anaendelea kusifiwa lazima pia abagazwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…