Ntambirweki again
JF-Expert Member
- Feb 25, 2022
- 213
- 191
Waswahili walisema wa kwanza atakuwa wa mwisho na wa mwisho atakuwa wa kwanza. Nadhani maana ya cheo ni dhamana kwa watesi wa mkongwe huyo ndo watajua sasa. Leo uko ofisini kesho atakuweko mwingine maana kabla yako walipita wengine.