SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
MH JONH POMBE MAGUFURI APIGA PUSH UP 235 KWA DK 19 BILA KUPUMZIKA.
Leo Mh Jonh P.Magufuri Avunja RECORD YA WAGOMBEA URAIS DUNIAN kwa kupiga Push Up 235 kwa Dk 19.Mgombea URAIS WA Kwanza alikuwa Mh Baraka OBAMA alipiga PUSH UP 219 Kwa Dk 22 Mwako 2012 akiwa MJIN WA BOISE STATE IDAHO MJIN MAREKANI Alipokuwa Akishindana na MCHEZA BASKET BALL MR JORDAN.HUYU MH KWELI AMEJIPANGA.
Hapo unawatukana watanzania wengi sana, wakiwepo wanaUkawa.Magovinda wajinga wajinga sana ..
Mbona mnaniondolea udhu,uzi wangu kuunganisha huku bora mfute
WanaUkawa wote wametahiriwa? Grow up.View attachment 289896
Haya sasa.....
Usitegemee kupata majibu sahihi isipokuwa mipasho.
wanakagera walishaamua ; MAGUFURI ,HAPAKAZI TU
NASHUKURU UMEPIGIA ENEO GANI????????????? KATIA YA HUU UMATI
MBELE KABISA
UNAJITEKENYA 65 KWA 25
HAPAKAZI TU
Alikuwa anatoa mawaidha msikitini.Kwani hapo alikuwa jukwaani akihutubia??
Atachafua jukwaa.Mwambie na Mamvi ajaribu hata akinyanyua makalio kama hamjamwimbia simbaliiiiiii karibu!!!!