Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa kama magufuli anastress kisa kapga push up sasa sijui yule mwinginea alikuwa ana nini!
Mtoa Mada Hivi Na Sisi Tuchague Anayeji.... Au Sera??
. Chuki ikua uzaa dhambi.....wewe sasa unatenda dhambi.....na kusoma hujui mpaka na picha huelewiii.Naomba kuuliza humu, nimemuona mgombea urais kupitia chama cha mapinduzi ccm akiwa kwenye mkutano huku akiwa anapiga pushapu najiuliza je! Kule ikulu kuna gym? Mana picha yake imesambaa humu jamii forum, instagram,facebook mgombea huyu kaonekana akipga pushapu. Je ni kweli tumchague mpga pushapu au tuchague sera?
Atakuja afe kwa sifa huyu mzee,sijui vile vi battery vingechomoka ingekuwaje!!!
Kunya anye kuku bata kaharisha magufuli hanyi??Haya Bwana Wengine Tunauza Pampers Kununua Hamtaki Kujinyea mjinyeee Sasa Sijui Mnasemaje Hapo Afu Bado Mnataka Kuingia Ikulu!
duhhh hiyo picha mm cjaiona
Naomba kuuliza humu, nimemuona mgombea urais kupitia chama cha mapinduzi ccm akiwa kwenye mkutano huku akiwa anapiga pushapu najiuliza je! Kule ikulu kuna gym? Mana picha yake imesambaa humu jamii forum, instagram,facebook mgombea huyu kaonekana akipga pushapu. Je ni kweli tumchague mpga pushapu au tuchague sera?
Mtoa Mada Hivi Na Sisi Tuchague Anayeji.... Au Sera??