Yaliyojiri msiba wa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif

Yaliyojiri msiba wa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif

Wamevaa Barakoa?
Barakoa kwa wingi. Wengine hata macho huyaoni
20210218_104230.jpg
 
Hakika,chanel ten,ni kituo cha utangazaji kisicho na mfano,jinsi walivyotuletea matangazo ya moja kwa moja,ya Maziko ya Makamo wa Kwanza wa Rais,wa Zanzibar,Marehemu Seif Sharif Hamad.Mtangazaji wa Studio,anatupa habari,za kueleweka na zilivyo nzuri,na zilizopangika,zimetufanya watazamaji,tusiondoke hata dakika moja.

Pongezi pia wachukuwaji wa video,picha zinaonekana vizuri,kuanzia Dar,Zanzibar,mpaka Pemba.Hongera mafundi mitambo,hongera uongozi mzima wa chanel ten.

Hongera sana ,chanel ten,mumetupa matangazo mazuri,watazamaji wenu wengi,hongera mtangazaji wenu wa studio,hodari sana.

Hongera watangazaji,waliokuwa katika msafara mzima.Wametufanya tuone kama tuko kwenye msafara,hongera mtangazaji alioko kwenye msafara wa Pemba.
 
tbc video zao ni mbaya bora wangetumia hata simu kuchukua matukio
 
Hakika,chanel ten,ni kituo cha utangazaji kisicho na mfano,jinsi walivyotuletea matangazo ya moja kwa moja,ya Maziko ya Makamo wa Kwanza wa Rais,wa Zanzibar,Marehemu Seif Sharif Hamad.Mtangazaji wa Studio,anatupa habari,za kueleweka na zilivyo nzuri,na zilizopangika,zimetufanya watazamaji,tusiondoke hata dakika moja...
Si kwasababu amekufa na wanajua hana athari yeyote tena kwa mmiliki wa hicho kituo. Mbona hawakurusha kampeni zake hata kwa hakika moja. Ila mazishi yake watayarusha hata kwa siku tatu mkuu tumia macho yote kuangalia mambo sio kusifia tu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Apumzike kwa amani. Natumaini hiki kifo cha mwenzetu Maalim kinaweza kuwaamsha watawala wetu wakachukua hatua stahiki kupigania afya za wananchi wao.
 
Back
Top Bottom