Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
Najaribu kuangalia maazishi ya makamu wa kwanza wa rais wa Zanzibar Ndg Maalim Seif nimegundua jambo moja. Kwakweli ndugu zetu waislam taratibu zao za maziko ni za hovyo kabisa. Hakuna kiongozi mkuu anayeongoza shughuli nzima, watu wametawanyika hovyo hovyo, haijulikani nani anayeongoza shughuli hata nyimbo wanazoimba ni mtu yeyote tu anajianzishia hovyohovyo kwa kifupi ni kama vile sio maazishi ya kiongozi wa kitaifa.
Kwakweli waislamu hawana utaratibu mzuri wa maziko ya viongozi wa kitaifa. Hata kama mtu amekwishafariki lakini ni wazi kwamba kwakuwa ni kiongozi wa kitaifa lazima ugeni utakuwa mkubwa na utaratibu wa kuongoza shughuli lazima uwepo na swala la muda wa maandalizi sidhani kama ni kigezo tosha kwani hii dini ni kubwa na ipo tokea zamani ilipaswa iwe organized kwa matukio kama haya.Yote kwa yote, Pumzika kwa amani Seif Sharif Hamad,Tanzania itakukumbuka daima.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Kwakweli waislamu hawana utaratibu mzuri wa maziko ya viongozi wa kitaifa. Hata kama mtu amekwishafariki lakini ni wazi kwamba kwakuwa ni kiongozi wa kitaifa lazima ugeni utakuwa mkubwa na utaratibu wa kuongoza shughuli lazima uwepo na swala la muda wa maandalizi sidhani kama ni kigezo tosha kwani hii dini ni kubwa na ipo tokea zamani ilipaswa iwe organized kwa matukio kama haya.Yote kwa yote, Pumzika kwa amani Seif Sharif Hamad,Tanzania itakukumbuka daima.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app