Ficha upumbavu wako mazishi siyo shughuli,usiufananishe uislamu na mambo ya hovyohovyoNajaribu kuangalia maazishi ya makamu wa kwanza wa rais wa Zanzibar Ndg Maalim Seif nimegundua jambo moja.Kwakweli ndugu zetu waislam taratibu zao za maziko ni za hovyo kabisa...
Kwani wengine hawajali kumsitiri marehemu? Au hawamuombei safari iwe ya kheri? Inafika wakati mbadilikeBasi haya tuachie tu na utaratibu zetu za hovyo.
Sie tunachojali ni kumstiri Marehem na kumuombea dua na maghfira ili safari yake iwe nyepesi.
Allah Ampokee hali ya kuwa yupo radhi nae, Amiepushie mchanga mzito na Amjalie Malaika wema ndio wawe wamempokea. Laasir hii ya Alkhamis kuingia Jumua'a
Sawa kiongozi naona uandishi wako sio wa hovyi sana[emoji23]Uandishi wako ni wa hovyi sana.
Huna vituo wala paragraph!
Nimekuelewa mkuu.Niliona niliseme tu ila haitojirudia.Jaribu kuheshimu taratibu za dini za wenzio hata kama unaichukia dini hiyo. Usioneshe chuki za wazi, kwani unapoonesha chuki za wazi basi tambua hata wenzako nao wataonesha chuki za wazi dhidi ya dini yako, kitendo ambacho utashindwa kukivumilia na kitakachofuata ni mvurugano. Tuishi humo.
nimekupenda, ningekua na mtoto mkubwa wa kike ingekuozesha bila mahari. Barikiwa sana mkuu kwa kua postive panapo kupokea changamotoNimekuelewa mkuu.Niliona niliseme tu ila haitojirudia.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Kwa kweli ni ya hovyoooooToka nimejiunga jf leo ndio nimekutana na comment ya hovyo hovyo
Mzee Membe Leo camera hazijamnasa msibani, Wala hakuna sehemu ameandika au kutoa pole kwa msiba wa nguli wa Demokrasia Maalimu, Je Membe yupo wapi?
hai wilaya ya kilimanjaro.? [emoji23][emoji23][emoji23]Yuko hai