Yaliyojiri msiba wa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif

Najaribu kuangalia maazishi ya makamu wa kwanza wa rais wa Zanzibar Ndg Maalim Seif nimegundua jambo moja.Kwakweli ndugu zetu waislam taratibu zao za maziko ni za hovyo kabisa...
Ficha upumbavu wako mazishi siyo shughuli,usiufananishe uislamu na mambo ya hovyohovyo
 
Kwani wengine hawajali kumsitiri marehemu? Au hawamuombei safari iwe ya kheri? Inafika wakati mbadilike

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Nimekuelewa mkuu.Niliona niliseme tu ila haitojirudia.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Angalia kule kushoto jirani na yule jamaa aliyevaa barakoa rangi ya zambarau nyuma yake ndipo jasusi mbobezi alipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…