Anagalieni longido majaliwa anapokea wanachana wenu na wagombea udiwani
Kambi inabomoka
Jiwe stone anakwambiahttps://www.facebook.com/Kwa Mujibu wa ratiba ya kampeni iliyotolewa na Chadema inaonyesha kwamba Mh Tundu Lissu leo atakuwa Tabora
=====
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia
CHADEMA TUNDU LISSU leo Septemba 3, 2020, atazindua kampeni kwa Kanda ya Magharibi, uzinduzi ambao utafanyika katika viwanja vya Chipukizi mkoani Tabora.
Leo umelipwa elfu saba yako na polepole? Naona una njaa sana.Angalia Hiyo video tarehe yake na maelezo ni ya tarehe 30 mwezi wa nane ni ya Harmonize chadema tayari wakasema yao! Ni wasanii hasa hawa watu
Manyumbu mnajifariji yaani hamtaki ukweli. Ngoja mtapata wabunge hata watano hawafiki.Majaliwa huyuhuyu asiyetakiwa kwao hadi akasimamia utekaji wa wagombea ubunge ?
Dogo unanichekesha sana. Tayari tenda ya kumalizia Isaka tu mwanza. Na Morogoro tu Makutupora imeshatangazwa. Nafikiri unasali kila siku asimalize huu mradi. Lakini atamaliza kwa nguvu za Mungu.Bwahaaa bwahaaaa, nimecheka kwa nguvu ile mbaya mpaka watu wakaniangalia. I wish ningekuona nahisi utakuwa ni bonge la mzee. Kwakuwa simba na yanga ndio timu zinazokubalika hapa nchini, basi tusijadili mambo ya mpira maana tayari simba na yanga zinakubalika? Eti leo Magufuli alikuwa anatiririka mazuri hivyo hakuna cha kujadili.
Huyo 2015 na kuendelea si ndio alikuwa anatamka kuwa Tanzania ya Magufuli itakuwa ya viwanda, sasa hivi anatamka tena hilo neno? Au watanzania wote wanaohitaji ajira tayari wako viwandani? Ana miradi miwili ya 15t+, mpaka sasa hajafikisha hata 7t kwenye hiyo miradi, ni wapi atapata 10t ya kukamilisha hiyo miradi ndani ya 5yrs mpaka aahidi mambo mazuri?
Acheni visingizioHatuan Drones.
Tuletee oblique viewNdani ya Tabora
Walibeba na Bendera za CHADEMA?Picha za Hamonize kuwasili Tabora msilete usanii Chadema mseme za kuwasili Lisu Hiyo video
Mwisho wake ni 28/10Dogo unanichekesha sana. Tayari tenda ya kumalizia Isaka tu mwanza. Na Morogoro tu Makutupora imeshatangazwa. Nafikiri unasali kila siku asimalize huu mradi. Lakini atamaliza kwa nguvu za Mungu.
Mradi wa JNHPP utakamilika soon. Tumuombe Mungu tu wala usihofu.
Hivi kusema kuwa unataka taifa liwe na viwanda ndio kusema serikali ndio ijenge viwanda? Viwanda vimeongezeka sana. Na mkoa wa kutolea mfano ni Pwani.
Kada mwenzangu habari? Huyu Lissu anasababisha tulale na viatu aisee, HAKAMATIKI.Duh kumbe jamaa mshirikina namna hii.
Unadebate nini kuhusu Chadema? Chama ambacho hata wananchi hawana imani nacho tena? Wahuni na matapeli wa kisiasa.Bwahaaa bwahaaaa, nimecheka kwa nguvu ile mbaya mpaka watu wakaniangalia. I wish ningekuona nahisi utakuwa ni bonge la mzee. Kwakuwa simba na yanga ndio timu zinazokubalika hapa nchini, basi tusijadili mambo ya mpira maana tayari simba na yanga zinakubalika? Eti leo Magufuli alikuwa anatiririka mazuri hivyo hakuna cha kujadili.
Huyo 2015 na kuendelea si ndio alikuwa anatamka kuwa Tanzania ya Magufuli itakuwa ya viwanda, sasa hivi anatamka tena hilo neno? Au watanzania wote wanaohitaji ajira tayari wako viwandani? Ana miradi miwili ya 15t+, mpaka sasa hajafikisha hata 7t kwenye hiyo miradi, ni wapi atapata 10t ya kukamilisha hiyo miradi ndani ya 5yrs mpaka aahidi mambo mazuri?
unatafuta nini ?Tuletee oblique view
ππππKada mwenzangu habari? Huyu Lissu anasababisha tulale na viatu aisee, HAKAMATIKI.
Huu ni mkutano au mnada wa mbuzi kule MonduliWatu kiduchuView attachment 1557598
Jibu unalo unafanya mdahalo
kujadili Ccm dhidi ya chama gani? Ccm imekuwa tamu kwa kila namna. Maana leo tu umesikia JPM alivyokuwa anatiririka namna Ccm itavyowafanyia mazuri watanzania. Sasa utadebate nini leo hii? Ccm inakubalika in short.
Akili za ngamia hiziLisu kamkimbia JPM ilikuwa wakutane Tinde wasalimiane, Lissu akazuga kwenda kwanmganga wakienyeji alikopitia sijui kaibukia tabora
Lema hakufungwa!
Jinga wewLisu ana hoja gani?
Kila la heri Rais wa awamu ya sita Mhe Tundu Antipas Lissu....kama ambavyo hawaamini risasi 16 haijakuzima, vivyo hivyo hakuna wakukuzima October 28 kuingia Ikulu
Kahama ipi ulipo? Nyasubi, Mhongolo, Masaki ama Nyihogo? Na wewe ni mkulima? Nenda Chambo, Kilago,Chona, Ngaya, Nyamilangano na vijiji vingine nchi hii kote huko wakulima wanalia bei ya mpunga wao. Unajua ni kwa nini? Hakuna wafanyabiashara wa kununua mazao yao, wanaogopa kuja Tz kubambikizwa makosa na TRA, wanaogopa kuleta hela zao. Lissu anataka afumue TRA na mfumo huu wa one man show ili mambo yote yaende kwa haki. Sasa wewe kaa hapo Nyasubi ukisubiri jioni umpe shemeji 2000 akaje na kilo 3 za mchele bila hata kujiuliza anayeumia ni mkulima anayetegemea mazao yake kuendesha maisha. Inzi wa kijani bwana, think out of your circumference, there are cries emanating from your party's theft and unlawful attempts to oppress freedom and justice by intervening the government systems. Lissu is the one to restore all to normal functioning with clear separation of power among the government organs.Usilinganishe Ethiopia na Tanzania. Njoo kahama watu wanakula mchele na kusaza ndio ulinganishe na nchi ambayo ina ukame miaka 40.
Haki za binadamiu zipi zinazominywa? Watu wanashinda kwenye vijiwe vya kahawa mpaka saa nne usiku wanajadili siasa.