Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
SawaNdio walipeleka then NEC ilitumia hizo ratiba zao kuwapangia ratiba resmi ili kusitokee mgongano wa mikutano siku na sehemu kuwa moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaNdio walipeleka then NEC ilitumia hizo ratiba zao kuwapangia ratiba resmi ili kusitokee mgongano wa mikutano siku na sehemu kuwa moja
Wewe utawezaje kuzijua hoja za lissu ?Lisu ana hoja gani?
Lema hakufungwa!Lema alifungwa kwa kuota ndoto
Sugu alifungwa bilawhatia Ilse ni kwa amri kutoka juu.
Tundu Lissu alipokwa ubunge akiwa mgonjwa. Ni mengi sana.
Hujajibu swali bwashee!Wewe utawezaje kuzijua hoja za lissu ?
Masikini wengi wanadhani maisha ni kula tu , kuna haja ya kuwakomboa kifikraUsilinganishe Ethiopia na Tanzania. Njoo kahama watu wanakula mchele na kusaza ndio ulinganishe na nchi ambayo ina ukame miaka 40.
Haki za binadamiu zipi zinazominywa? Watu wanashinda kwenye vijiwe vya kahawa mpaka saa nne usiku wanajadili siasa.
Mlivyo washirikina mnafikiri kila mtu anaamini huo ushetani.Lisu kamkimbia JPM ilikuwa wakutane Tinde wasalimiane, Lissu akazuga kwenda kwanmganga wakienyeji alikopitia sijui kaibukia tabora
Ahaa, kumbe hukuona hatia zao? Mbona wewe hujakamatwa na kufungwa.Upo hapo umevaa gwanda limebana makalio yako unatype kwa uhuru?Lema alifungwa kwa kuota ndoto
Sugu alifungwa bilawhatia Ilse ni kwa amri kutoka juu.
Tundu Lissu alipokwa ubunge akiwa mgonjwa. Ni mengi sana.
Ukiwa mshirikina sio lazima uone na wenzio washirikinaLisu kamkimbia JPM ilikuwa wakutane Tinde wasalimiane, Lissu akazuga kwenda kwanmganga wakienyeji alikopitia sijui kaibukia tabora
Alikaa gerezaniLema hakufungwa!
Tulia wewe, hoja yangu hapo ni kuwa Ethiopia wanakimbia njaa. Sio kunyimwa haki.Masikini wengi wanadhani maisha ni kula tu , kuna haja ya kuwakomboa kifikra
Ah huyu Magufuli ni mweupe sana. Hawezi kujibu hata hoja moja ya Lissu
Ni kweli mkuu.Lisu kamkimbia JPM ilikuwa wakutane Tinde wasalimiane, Lissu akazuga kwenda kwanmganga wakienyeji alikopitia sijui kaibukia tabora
Nipe hoja hata moja ya Lisu mmjibie Magu hapaAh huyu Magufuli ni mweupe sana. Hawezi kujibu hata hoja moja ya Lissu
Ya kununua madege makubwa makubwa na kujenga meli.Lisu ana hoja gani?
Hivi ITV wanaonesha kampeni za CDM? Napata tabu kuzipata hadi niende YouTube kuangalia vipande.Bwashee leo ITV utaangalia ukiwa wapi? Mimi na mzee Magufuli tutakuwa Shinyanga tukiangalia kama tutaweza kuambulia tupoint tule twepesi twa kujibu kesho ila tukishindwa kupata majibu tutaendelea kuserereka na zahanati flyover na ndege
NotedSawa.
Lakini inaratibiwa na NEC
Kama ni hivyo tunarudiapo tea akitoka lisuNashauri awe anasubiri anakopita CCM baada ya siku 2 Lissu anaenda kuzima hoja
OkKama ni hivyo tunarudiapo tea akitoka lisu
Vipi meno hayaathiriki?,,maana kutafuna mchele si mchezo,,naomba unitumie mbegu ya mchele nami msimu unao nianzishe kilimo cha mchele huku dodoma.Usilinganishe Ethiopia na Tanzania. Njoo kahama watu wanakula mchele na kusaza ndio ulinganishe na nchi ambayo ina ukame miaka 40.
Haki za binadamiu zipi zinazominywa? Watu wanashinda kwenye vijiwe vya kahawa mpaka saa nne usiku wanajadili siasa.
We dhaifu sana kuleta maji sio hoja wametumia kodi zetu tena sio bure wamelipwa mishahara na posho kibao. SISI WATANZANIA NDIO WATU WAJINGA SANA MAANA NI WEPESI KUDANGWANYWA.Mradi wa maji toka ziwa victoria umeshammaliza. Ccm wanazoa kura zote Tabora. Maana huu mradi umewapa credit kubwa sana ya kisiasa Ccm. Akina mama wa kinyamwezi hawawezi kumsikiliza mtu anaesema kuletewa maji tabora ni maendeleo ya vitu.