Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji848][emoji3064][emoji3][emoji40][emoji40][emoji40]mkuu kuna kolonya vaa balakoaMkuu mbona kwa muda mrefu kila nikisoma jumbe zako nyingi zinahusiana na mambo ya GIZANI vipi unahusika kikamilifu au unajaribujaribu
Ndio inaweza ...niletee kilingeni niifingue imerogwaHata TECNO yangu W3 inaweza kuandika hivyo?
[emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji1548][emoji1534][emoji1548][emoji1534][emoji1548]Pole mzee...hahaaa!
[emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]Nimejikuta tu nacheka[emoji1787]
[emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1536][emoji1536][emoji1536][emoji818][emoji818][emoji818][emoji617][emoji777][emoji777][emoji777]Aisee......nimekuelewa Mkuu.
haka ka section kwa kweli tumekaona kanafaa mno.... ni kizuri kanapendeza sasa naona tukaweke kwenye ilani yetu ya chama cha mapinduzi...wananchi watatuelewa tu kwa hizi dk za lalasalama - you never know... game huwa ni dk 90.
[emoji322][emoji322][emoji322][emoji323][emoji323][emoji323][emoji298][emoji298][emoji298][emoji298][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji952][emoji952][emoji952][emoji91][emoji91][emoji91]Kibirizi mambo ni motooo!!
Tafsiri ya jina Li 'pumba'hivi Lipumba anajisikiaje aisee
[emoji848][emoji3064][emoji3][emoji40][emoji40][emoji40]mkuu kuna kolonya vaa balakoa
Pemba huijui ni ngome ya vyama vinne kuna CCM Pemba ndiko alikozaliwa Raisi Mohamed Shein na ndiko alikozaliwa mama Siti Mwinyi mama yake mgombea uraisi wa sasa wa Zanzibar Hussain Mwinyi pili Pemba ni ngome ya chama cha CUF cha Lipumba tatu Pemba ni ngome ya chama cha ADC cha Hamad Rashid Mohammed kimeshatoa hadi waziri wa serikali ya Zanzibar Kule cha nne ni ACT Maalim Seif Pemba atashindwa mapema tu asubuhi
CCM mwaka huu wanalo,wasubiri tarehe 28/10/2020 yatakayowakuta hawataamini.Tulijaribu sana kuwakumbusha wajibu wao wa kusimamia utoaji wa Haki za binadamu bali walijiona kuwa miaka mitano ni milele maana walikuwa wakitamba na kuwakejeli wananchi kwa chaguzi za marudio baada ya viongozi wa upinzani waliounga mkono juhudi za Mzee Baba!Wamechezeza sana raslimali na hazina ya Taifa letu la Tanzania.Leo CCM Nchi Nzima Masikio Ni Pemba Kujua Nini Kinakwenda Kuongelewa, Kesho Utasikia Pole Pole Anaongea Na Wana Habari Kupooza Joto
Iko dhahiriHakika Lissu na maalim hakuna wa kuwazuia mwaka huu! Hawa watu wanapendwa
TawileNimeroga uchaguzi huu mpaka nanuka tunguli